sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,646
- 8,736
Hapana naenda kuwa tutor



Kumbe umepata ajira mwenzetu basi kapige mapindi huko.
Hapana naenda kuwa tutor



Ataenda mbeya sec akiwa anawakawakaBought some to mamaView attachment 1673698

🤣🤣na vile walimu wanapenda mashindano,, taja namba ya mguu na wew upate kimojaAtaenda mbeya sec akiwa anawakawaka![]()
stress za JANUARY 😂Huu uzi mbona umepoa sana watu mnatafuta ada nini?
Atawaka hatarina vile walimu wanapenda mashindano,, taja namba ya mguu na wew upate kimoja






Mimi navaa 39najipendekeza akistaafu mwakani anikumbuke hata ya soda 😂😂,,ok ijumaa ntakua mby utakuepo?Atawaka hatari
Wenzie watakuta vitu vipya
Mimi navaa 39
Asantee sana
najipendekeza akistaafu mwakani anikumbuke hata ya soda,,ok ijumaa ntakua mby utakuepo?




naona juhudi zako.

hahaha unaniogopa ? Mimi sio watu wasiojulikana ni kijana wa yesu mpenda amaninaona juhudi zako.
Lazima akukumbuke tu..
Nadhani nitakuwepo,hata nisipokuwepo itakuwa vizuri zaidi nimuagize mtu![]()
Wala sikuogopihahaha unaniogopa ? Mimi sio watu wasiojulikana ni kijana wa yesu mpenda amani



Sasa usawa huu hela zinatoka wapi douta, hali ngumu acha kabisa. Tumebaki kuimba mapambio tu, na vile hatuna PhD teuzi hatupati hakyanani...






January siku hazitembei kabisaHuu uzi mbona umepoa sana watu mnatafuta ada nini?
January siku hazitembei kabisa

Nani leo kapika pilau kuku



naona ilikuwa na hamu na pilau kuku. Sema wewe hushindwi kupata kuku wakula utakuwa hujaamua