Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Mwee uko bush wapi tena DadMarahaba douta, I'm glad u good! Huku bush kuna baridi sana leo...
Mwee uko bush wapi tena DadMarahaba douta, I'm glad u good! Huku bush kuna baridi sana leo...
Wengine tupo kama Prof. Mwandosya, tunaishi bush japo hatuna hela.Mwee uko bush wapi tena Dad
toa location basi tuje tule kisam.vu hicho




kachume cha muhogo mpira huko shambani.Kuna kusamvu cha muhogo mpira, kisamvu cha mkecha, na kisamvu cha chisumi.kwani kuna cha nini chengine





hongera had mtoto mnae ww na mpenz wako..
poa naanza na wwkachume cha muhogo mpira huko shambani.
hongera had mtoto mnae ww na mpenz wako..

Mmh hapo kwenye kutokuwa na Hela ngoja ninyamaze tu ila naona umeamua kuwapoteza maboyaWengine tupo kama Prof. Mwandosya, tunaishi bush japo hatuna hela.



Sasa usawa huu hela zinatoka wapi douta, hali ngumu acha kabisa. Tumebaki kuimba mapambio tu, na vile hatuna PhD teuzi hatupati hakyanani...Mmh hapo kwenye kutokuwa na Hela ngoja ninyamaze tu ila naona umeamua kuwapoteza maboya![]()
![]()
Kwahiyo siku zote hizo ulikuwa na stashahada tuNani ataenda nami?View attachment 1673849
