Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jaman mie sitakuja kusahau msuli wa PCM ktk maisha yangu yote wallah ivi. Acheni tyuuuh .
Afu m2 analeta utani wake na kejeli, ntakuja kupasua watu pua humu ndani
Ukienda kule watakupasua wewe pua
Watu wanampinga hadi T.O unadhani watakuogopa?
 
Duuuuh physics 99 necta? Aseeeeh alitisha mnoooh,
Sema mie nlkua naskia habari zake pale shule.
Physics kna kubahatisha? Watu tunapata heshima kupitia physics.
Hebu shangaa mwenyewe wanasema alibahatisha tu

Jamaa sijui alikuwa na akili gani aiseee..mm hata nimgekesha miaka miwili usiku na mchana bila kulala bado 99 sifikishi.
 
Hebu shangaa mwenyewe wanasema alibahatisha tu

Jamaa sijui alikuwa na akili gani aiseee..mm hata nimgekesha miaka miwili usiku na mchana bila kulala bado 99 sifikishi.
Physics mchezo cc? Mtu unakeshaa wee unaingia kwenye paper unaona kabisa, phys inakuambia "mie sio matako kwamba kila mtu anayo" basi jasho zinatoka za kuzunguka mdomo unafuta na ulimi, ladha sio ya chumvi ni sukari tupu.
 
Yaani
Phy 99
Chem97
A.maths 98
Gs 98
Wanasema alibahatisha tu
Huyo elias alikua ananipigisha pindi za hesabu hatumii kitabu topic zote zipo kichwani na hakuna swali linamshinda angalau na Mimi nikaambulia ka C na shuleni kwao mwalimu wao wa hesabu alikua anatumia Pepa yake Kama marking scheme yaan Kama hujapata Jibu alipata Elias umekosa halaf mtu anasema alikua anabahatisha serious
 
Physics mchezo cc? Mtu unakeshaa wee unaingia kwenye paper unaona kabisa, phys inakuambia "mie sio matako kwamba kila mtu anayo" basi jasho zinatoka za kuzunguka mdomo unafuta na ulimi, ladha sio ya chumvi ni sukari tupu.
Hafu wanasema simple tu na maswali yake yako straight forward unaweka kanuni unatembea
Na vitabu vyake vichache tu
 
Huyo elias alikua ananipigisha pindi za hesabu hatumii kitabu topic zote zipo kichwani na hakuna swali linamshinda angalau na Mimi nikaambulia ka C na shuleni kwao mwalimu wao wa hesabu alikua anatumia Pepa yake Kama marking scheme yaan Kama hujapata Jibu alipata Elias umekosa halaf mtu anasema alikua anabahatisha serious
Si umeona lakini walivyokuwa wanamkejeli kwenye uzi
Nilitamani mwamba ainuke japo dk 1 aone maajabu ya watanzania.
 
Wallah uchawi upooh, tena ni New Version.
Khaaaaah lol
Nchi ina maajabu hii acha kabisa.

Hata huko HKL kupata huo wastani sidhani kama ni rahisi hivyo..ingekuwa rahisi basi kila mtu angepata.
Ila kumkubali tu kama jamaa alikuwa anajua hawataki hadi kesho
 
Hafu wanasema simple tu na maswali yake yako straight forward unaweka kanuni unatembea
Na vitabu vyake vichache tu
Hapo hiyo Nelkon tu hajui timbwili lake
Cc mbona huo uzi sijaona, unajua hapa natamani kumzibua makofi ya uso huyo jamaa aliekua anasema ujinga wake, afu ukute alisoma HKL jamani ntakuja kuua m2 me.
 
Cc mbona huo uzi sijaona, unajua hapa natamani kumzibua makofi ya uso huyo jamaa aliekua anasema ujinga wake, afu ukute alisoma HKL jamani ntakuja kuua m2 me.
Hivi umewaona lakini??
Ukienda utanyosha mikono mwenyewe.

Ni Uzi wa muda,tangu November nadhani
 
Back
Top Bottom