Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaha wanyaki bna mnapenda ugali bmkubwa nae dah anaeza kula ugali asbh mchana jion
Bora hata wanyaki wanachanganya na biazi kidogo
Sisi hapa ni ugali mwanzo mwisho.
Mimi haipiti siku sijakula ugali.. kama sio mchana basi ni usiku.
 
Bora hata wanyaki wanachanganya na biazi kidogo
Sisi hapa ni ugali mwanzo mwisho.
Mimi haipiti siku sijakula ugali.. kama sio mchana basi ni usiku.
Mie pia napenda ugali Ila Sasa isiwe Sana hata Kama chura anapenda maji Ila sio Sasa ya Moto
 
Mbona skuiona huyo jomoneeh mama mlezi,
 
Mbona skuiona huyo jomoneeh mama mlezi,
Uzi ulikuwa na vituko


Yaani mdogo wangu kuna watu wa ajabu hii dunia.
Tafuta Uzi wa T.o Kihombo alianzisha baba swalehe uone jinsi watu wanavyopinga ugenius wa T.O aliyepata wastani wa 98 PCM..wanasema alibahatisha
 
Japo wengine walinichamba

Ila na mimi sikuwaacha bure,,hadi usiku wa manane nilikuwa naamka kujibu mapigo.
Ilikua poa Sana Kuna jamaa fulani ulikua unambishia Mimi namjua ni mshua alikua rpc kahamia HQ alikuaga kule mkoa naoishi ni rafiki yangu alisemaga nimsetie jf isiwe inaupdate kwenye email nkaona user name yake ulimpelekea motoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…