Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,136
Asante bossOooh pole sana mkuu
Asante bossOooh pole sana mkuu
Kuna mauaji huko hakyanani! Nimeangalia hadi "mitatu" nikaona niachane nao manake daraja linavunjika.
Wapo wanaouona mkuuBinafsi sijawahi kuona utam wa mke wa mtu.
Haswaaa! Ndio maana nikasema kwa uzuri alio nao mwanamke hakuna mwana ume anaeweza kuwa naoKwako wewe ndiyo unaona uzuri ni matiti
Ila uzuri ni suala mtambuka na pana sana na uzuri wa mtu upo machoni pa mtazamaji kila mtu ana namna yake ya kudefine uzuri
Enh wacha bwanaHB wa dunia nzima ambaye hajawahi kutokea mwingine kama yeye.
Aahh wewe tena
Wanaume design ya Yusuph walishakufa hata kabla Yesu hajapaa Mbinguni






Sijui jina langu litakuwa linasemaje loh




Ni kweli ndio maana nikasema binasfi yangu!!Wapo wanaouona mkuu
Ndiyo maana nikasema haya mambo kila mtu anayachukulia kivyake binadamu hatuwezi kufanana hata siku moja aise
Kuna sehemu umechungulia
Kuna mauaji huko hakyanani! Nimeangalia hadi "mitatu" nikaona niachane nao manake daraja linavunjika.









Vyotekichwa kipi kalumbu?
Hiyo ni kwako weweHaswaaa! Ndio maana nikasema kwa uzuri alio nao mwanamke hakuna mwana ume anaeweza kuwa nao
Kisu changu kina makali sana Boss huwa kinakata nyuma na mbele....Kwa Nini asikubaki! Kisu chako tu boss mradi kisikose makali
Pole sanaHawezi kua mzuri moja kwa moja ndugu yangu, mfano uzuri was mwanamke unakamilika kifuani kwake, Sasa mwanaume matiti atayatoa wapi
Oohh hapo sawaNi kweli ndio maana nikasema binasfi yangu!!
Vizuri aisee kuchanganya damuYep yep mkuu japo nimechanganya na Kanda ya ziwa mwisho wa reli
"Inasemekana"Enh wacha bwana
Mbona sijawahi paona palipomuelezea hivyo
Adui yako muombee njaa, tupo 3points nyuma yao.
Basi arsenal mnafurahi

Kisu changu kina makali sana Boss huwa kinakata nyuma na mbele....
Wacha nimubembeleze atarika tu maana kashaanza kulewa halafu ni ingizo jipya.
nakuaminia