Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
yah,hii picha kweli imechukuliwa kutokea mkapaNilikuwa Ben mkapa hospital
Unaumwa?
Pole
Hopefully umepata huduma nzuri
Ila watu Sasa wanavyojaaga

yah,hii picha kweli imechukuliwa kutokea mkapaNilikuwa Ben mkapa hospital

No siumwi mpendwa ila nilienda muona rafiki mgonjwa.yah,hii picha kweli imechukuliwa kutokea mkapa
Unaumwa?
Pole
Hopefully umepata huduma nzuri
Ila watu Sasa wanavyojaaga![]()
Huduma zake nzuri mno.No siumwi mpendwa ila nilienda muona rafiki mgonjwa.
Ila hiyo hospital iko poa sana japo watu ni wengi hatari

Yeah hata vifaa vyao ni vya kisasa sana...ila nimeona kuna manesi wawili watatu wanataka iharibia sifa.Huduma zake nzuri mno.
Watu wanakuja toka mikoa mbalimbali..ukitaka usichelewe uwahi asbh sana 12 ikugongee pale..nje na hapo utakuta bonge la foleni kwenye kuandikisha
Mungu amponye![]()
Wamewafanyaje??Yeah hata vifaa vyao ni vya kisasa sana...ila nimeona kuna manesi wawili watatu wanataka iharibia sifa.
Nashukuru sana![]()

Kuna huyo nesi akija kumcheki mgonjwa hasalimii wala ukimsalimia wewe hajibu. Tukahisi ni kwa mgonjwa wetu tu kumbe hata kwa wengine ni vivyo hivyo...hata ukimuita aja kwa maringo na nyodo mpaka 😄🤦🏽♂️Wamewafanyaje??
Manesi sijui kwanini wachache huwa wanakuwa vichomi![]()
Kuna huyo nesi akija kumcheki mgonjwa hasalimii wala ukimsalimia wewe hajibu. Tukahisi ni kwa mgonjwa wetu tu kumbe hata kwa wengine ni vivyo hivyo...hata ukimuita aja kwa maringo na nyodo mpaka
Ila watu wa hivi hawakosekani siku zote





Picha ngumu Kama hizi bro hazifai



Yaani hayo yote ni kweli kabisa
Ulisikia wapi?
Endiwo
Nimemiss baba huyu aiseeUlisikia wapi?View attachment 1666795