Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,511
- 235,218
yah,hii picha kweli imechukuliwa kutokea mkapaNilikuwa Ben mkapa hospital
Unaumwa?
Pole
Hopefully umepata huduma nzuri
Ila watu Sasa wanavyojaaga[emoji119]
yah,hii picha kweli imechukuliwa kutokea mkapaNilikuwa Ben mkapa hospital
No siumwi mpendwa ila nilienda muona rafiki mgonjwa.yah,hii picha kweli imechukuliwa kutokea mkapa
Unaumwa?
Pole
Hopefully umepata huduma nzuri
Ila watu Sasa wanavyojaaga[emoji119]
Huduma zake nzuri mno.No siumwi mpendwa ila nilienda muona rafiki mgonjwa.
[emoji1][emoji1]Ila hiyo hospital iko poa sana japo watu ni wengi hatari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtakatifu bhana [emoji28][emoji28]
Yeah hata vifaa vyao ni vya kisasa sana...ila nimeona kuna manesi wawili watatu wanataka iharibia sifa.Huduma zake nzuri mno.
Watu wanakuja toka mikoa mbalimbali..ukitaka usichelewe uwahi asbh sana 12 ikugongee pale..nje na hapo utakuta bonge la foleni kwenye kuandikisha
Mungu amponye[emoji120]
Wamewafanyaje??Yeah hata vifaa vyao ni vya kisasa sana...ila nimeona kuna manesi wawili watatu wanataka iharibia sifa.
Nashukuru sana [emoji1431]
Kuna huyo nesi akija kumcheki mgonjwa hasalimii wala ukimsalimia wewe hajibu. Tukahisi ni kwa mgonjwa wetu tu kumbe hata kwa wengine ni vivyo hivyo...hata ukimuita aja kwa maringo na nyodo mpaka 😄🤦🏽♂️Wamewafanyaje??
Manesi sijui kwanini wachache huwa wanakuwa vichomi[emoji1751]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna huyo nesi akija kumcheki mgonjwa hasalimii wala ukimsalimia wewe hajibu. Tukahisi ni kwa mgonjwa wetu tu kumbe hata kwa wengine ni vivyo hivyo...hata ukimuita aja kwa maringo na nyodo mpaka [emoji1][emoji2363]
Ila watu wa hivi hawakosekani siku zote
Picha ngumu Kama hizi bro hazifai[emoji24]
[emoji7][emoji7][emoji7]Yaani hayo yote ni kweli kabisa
Uwanaume ndio huu Sasa[emoji122][emoji122][emoji122]
[emoji23][emoji23]Sasa wote tuwe wabaya[emoji134]
Ulisikia wapi?[emoji23][emoji23]
Endiwo
Nimemiss baba huyu aiseeUlisikia wapi?View attachment 1666795