Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,160
- 11,214
namsaidia kutoa ushaur kwamba msichague saaaaana wanaume smtimes unajilipua tuKwahiyo unatushauri nini sisi dada zako ambao hatueleweki
namsaidia kutoa ushaur kwamba msichague saaaaana wanaume smtimes unajilipua tuKwahiyo unatushauri nini sisi dada zako ambao hatueleweki
Mmmh kawaida mtoto wa kike hanaga ugeniHuu utambulisho kiboko, unafikia jikoni tena? Labda kama ulienda kukaa siku mbili tatu automatically ungeshiriki kazi za nyumbani. Anyway, kila familia/koo zina taratibu zake


unachez na wakwe wewNiko town shusha dress code ya kesho church Ila itategemea Kama nitarud mapema nataka nikazulure mbeya leo nipite viwanja mbali mbali twenzetu ukasafishe machoAiseee
Ila vitu hivi vinaenda kwa mazoea tu.,kila mtu na jinsi alivyozoea.
😅😅Naacha basiAaaha uchokozi ndo mezoea![]()
Bora yako wew mama jinywe k vant yako
Goli wap MkuuMan of the matchView attachment 1665577
Pouwa tuTuanze na namba ya NIDA

Leo hutaki kuwa mfizikia??
NiceMan of the matchView attachment 1665577
Tutachagua tunamsaidia kutoa ushaur kwamba msichague saaaaana wanaume smtimes unajilipua tu


Kesho sijui hata ntavaa nini.Niko town shusha dress code ya kesho church Ila itategemea Kama nitarud mapema nataka nikazulure mbeya leo nipite viwanja mbali mbali twenzetu ukasafishe macho

NiceMan of the matchView attachment 1665577
ok ukirudi nishtue nikusalimu bna wanasema salamu haitii mimba usiogope nipo mpaka end of januaryKesho sijui hata ntavaa nini.
Halafu nina mtindo wa kuhangaika kuchagua nguo ya kuvaa asbh
Kumbe ulishafika??karibu sana
Kesho kuna dalili za Mimi kusafiri.
Ishi maisha yako, fanya unacho kiona ni sawa,Kwahiyo unatushauri nini sisi dada zako ambao hatueleweki

Umeamua upumzike kwa mamaok ukirudi nishtue nikusalimu bna wanasema salamu haitii mimba usiogope nipo mpaka end of january

Mmmh kawaida mtoto wa kike hanaga ugeni
Pia uwezi ona mtu mzima yuko napuliza moto uko umekaa
Wale watu wanavipimo vyao vya kumima mtu je anafaa au hafai,ana adabu au hana pale ndo unatolewa makisi..
Ukiona wamefanya kila kitu we upo umebunda tu kama kipofu wala hawata kusumbua ila baada ya hapo ni mtoto wao kikao kitamuhusu kukutafakari weweunachez na wakwe wew
Wazee mnakula Mbanga (ajari) sio poaNafika tu mbeya nyumbani jirani yetu hapa pua na mdomo nakuta chuma Ina majanga namuuliza mzee vipi anasema we acha tu Jana juz nililewa nikawa naendesha gari Kama nacheza game la magari kwenye simu

