Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

usinikumbushe siku naenda kutambulishwa kwao na mchumba angu aisee nilienda nimevaa gauni ya kitenge hyo ndefu alafu pana hahahaha mpk mchumba mwenyewe hakuamin kama ni mimi na kichan nakwambia nilifunga na kiremba jmn nilifika tu baba mkwe ananiita akanipeleka zizini nichague mfugo wa kuchinjiwa...sita isahau hyo siku nilichagua kondoo nikachinjiwa..nikapewa mawe nipange mafiga mtoto wa watu mimi sijawai pika ugali kwa mikono miwili toka niwepo jmn ila sikujali nilivua gaun langu nikaweka kando nikavaa dela nikapanga mafiga nikawasha moto nikatenga mboga uku mawifi na wake na mashemej wananiangalia tu jmn imagen sikuonesha hasira kbsaa nilipika yule kondoo then nikatenga sufuria la ya ugari kwenye kusonga ilikuwa kimbembe niktazama watu ni nyomi kishenzi wa 16 walikuwepo pale ukweli nilimuita mama mkwe nikamwambia tu ukweli siwezi kusonga ugari wa watu 16 wa watu kumi tu sijawai nilicho kifnya nilimfata kijan ake nikamwambia baby si unajua bdo naumwa eeh maan nilikuwa na wiki 2 toka nialibikiwe ujauzito ndo kamfata mama ake kumwambia hyu bdo anaumwa harusiwi kufanya kazi ngumu hahahahahsita sahau kwa kweli ukweni mkusikie tu hakunaga mazoea
vipi alikuoa pamoja na hekaheka zote hizo?
 
usinikumbushe siku naenda kutambulishwa kwao na mchumba angu aisee nilienda nimevaa gauni ya kitenge hyo ndefu alafu pana hahahaha mpk mchumba mwenyewe hakuamin kama ni mimi na kichan nakwambia nilifunga na kiremba jmn nilifika tu baba mkwe ananiita akanipeleka zizini nichague mfugo wa kuchinjiwa...sita isahau hyo siku nilichagua kondoo nikachinjiwa..nikapewa mawe nipange mafiga mtoto wa watu mimi sijawai pika ugali kwa mikono miwili toka niwepo jmn ila sikujali nilivua gaun langu nikaweka kando nikavaa dela nikapanga mafiga nikawasha moto nikatenga mboga uku mawifi na wake na mashemej wananiangalia tu jmn imagen sikuonesha hasira kbsaa nilipika yule kondoo then nikatenga sufuria la ya ugari kwenye kusonga ilikuwa kimbembe niktazama watu ni nyomi kishenzi wa 16 walikuwepo pale ukweli nilimuita mama mkwe nikamwambia tu ukweli siwezi kusonga ugari wa watu 16 wa watu kumi tu sijawai nilicho kifnya nilimfata kijan ake nikamwambia baby si unajua bdo naumwa eeh maan nilikuwa na wiki 2 toka nialibikiwe ujauzito ndo kamfata mama ake kumwambia hyu bdo anaumwa harusiwi kufanya kazi ngumu hahahahahsita sahau kwa kweli ukweni mkusikie tu hakunaga mazoea
Watoto wa kishua Bwanahamjui kupika kwenye mafiga.

Kusonga ugali kwenye mafiga ni rahisi mno kuliko mkaa,Mimi napenda kutumia mafiga kwenye kusonga ugali.

Kwahiyo mama mkwe akakusaidia kusonga
Ila mambo ya ukweni jamaniMimi ikitokea nikaolewa nikienda basi nikae tu siku chache...mambo ya kuishi na ukoo mzima kwa siku nyingi kwa kweli siwezi kabisa.
 
Watoto wa kishua Bwanahamjui kupika kwenye mafiga.

Kusonga ugali kwenye mafiga ni rahisi mno kuliko mkaa,Mimi napenda kutumia mafiga kwenye kusonga ugali.

Kwahiyo mama mkwe akakusaidia kusonga
Ila mambo ya ukweni jamaniMimi ikitokea nikaolewa nikienda basi nikae tu siku chache...mambo ya kuishi na ukoo mzima kwa siku nyingi kwa kweli siwezi kabisa.
😃😀 usiogope ukweni wapo wawili tu na mbwa wetu nae yumo kwenye share so ukipika unapika msosi wa watu wanne
 
Huu utambulisho kiboko, unafikia jikoni tena? Labda kama ulienda kukaa siku mbili tatu automatically ungeshiriki kazi za nyumbani. Anyway, kila familia/koo zina taratibu zake
usinikumbushe siku naenda kutambulishwa kwao na mchumba angu aisee nilienda nimevaa gauni ya kitenge hyo ndefu alafu pana hahahaha mpk mchumba mwenyewe hakuamin kama ni mimi na kichan nakwambia nilifunga na kiremba jmn nilifika tu baba mkwe ananiita akanipeleka zizini nichague mfugo wa kuchinjiwa...sita isahau hyo siku nilichagua kondoo nikachinjiwa..nikapewa mawe nipange mafiga mtoto wa watu mimi sijawai pika ugali kwa mikono miwili toka niwepo jmn ila sikujali nilivua gaun langu nikaweka kando nikavaa dela nikapanga mafiga nikawasha moto nikatenga mboga uku mawifi na wake na mashemej wananiangalia tu jmn imagen sikuonesha hasira kbsaa nilipika yule kondoo then nikatenga sufuria la ya ugari kwenye kusonga ilikuwa kimbembe niktazama watu ni nyomi kishenzi wa 16 walikuwepo pale ukweli nilimuita mama mkwe nikamwambia tu ukweli siwezi kusonga ugari wa watu 16 wa watu kumi tu sijawai nilicho kifnya nilimfata kijan ake nikamwambia baby si unajua bdo naumwa eeh maan nilikuwa na wiki 2 toka nialibikiwe ujauzito ndo kamfata mama ake kumwambia hyu bdo anaumwa harusiwi kufanya kazi ngumu hahahahahsita sahau kwa kweli ukweni mkusikie tu hakunaga mazoea
 
@linahbaby bhana...

Kila la kheri mdogo Mungu akutangulie kwa kila kitu akuondolee vikwazo vyote mfanikiwe kufunga ndoa muanze kulala bila vyupi...
Kuolewaa ni sheria babygirl...

Ata uzunguke dunia nzima siku moja utaitaji kuwa na mume na family alafu mimi sio mara ya kwanza kuchumbiwa ati hii ni mara pili nilisha chumbiwa na muboy wangu tuliye dumu kwa muda mrefu kwa mausiano ila tulivunja kutokana na tabia za mshikaji alikuja kubadilika na kunifanya ngoma tena nakumbuka mpk nilikuja kuomba mpk ushahuri jf kama kuna mtu alisha pitia page zangu basi alisha kutana nao uo uzi
 
Back
Top Bottom