kila ukiingia bafuni unayatamani maji alafu unakumbuka you can't
Binafsi weaving sipendi maana nyingi zinawasha kutokana na aina ya material wazotumia kutengeneza. Kuna mtu aliniambia ukipaka Diprosone kama ulikuwa unasumbuliwa na ngozi kuwasha inaisha kabisa. Labda ujaribu uone if it might help.....