Selfika na JF: Snap it. Show it

Ujue mtu akinyoa kila muda unataman kumwambia una nywele nzuri
ila akishaweka zile za akina Neymar na ronaldinho unaanzaje kumwambia...
Weeee...msitudanganye!😬😬
Huku mnajidai kuziponda ila mtaani mnazisifia kama nini. Watu wenu wakibond na kushonea hizo "You are so beautiful! Ma" "You look amazing" etc. etc. kama zote 😏😏
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ kila ukiingia bafuni unayatamani maji alafu unakumbuka you can't 😳😳

Binafsi weaving sipendi maana nyingi zinawasha kutokana na aina ya material wazotumia kutengeneza. Kuna mtu aliniambia ukipaka Diprosone kama ulikuwa unasumbuliwa na ngozi kuwasha inaisha kabisa. Labda ujaribu uone if it might help.....
 
Niliona miaka ya nyuma kidogo dada yangu alikuwa anaimwagia kichwani hiyo diprosone.

Ni kweli inasaidia ila unalowa kichwa utadhani umande wa asbh..unyevu hauishi kichwani na mwishowe kunavunda.

Mm napenda weave maana haichukui muda mwingi kusuka.Nywele za kukaa zaidi ya masaa mawili nasukwa yaani siwezi
 
Weeee...msitudanganye!😬😬
Huku mnajidai kuziponda ila mtaani mnazisifia kama nini. Watu wenu wakibond na kushonea hizo "You are so beautiful! Ma" "You look amazing" etc. etc. kama zote 😏😏
Mi nadhani kwenye hili ni kila mtu alivoumbwa kikubwa ni ujijue unapendeza ukifanya kipi. Kuna wanaopendeza akinyoa kipara, kuna wanaopendeza akinyoa kama ulivonyoa, kuna anaependeza akisuka rasta nk nk..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…