Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mi nadhani kwenye hili ni kila mtu alivoumbwa kikubwa ni ujijue unapendeza ukifanya kipi. Kuna wanaopendeza akinyoa kipara, kuna wanaopendeza akinyoa kama ulivonyoa, kuna anaependeza akisuka rasta nk nk..
Exactly!!! Kwahiyo mtuvumiliage tu!!

Alafu kuna kupenda kitu....na kitu kukupenda. So inabidi tuhangaike hangaike mpaka tupate style tunazopenda alafu nazo ziwe zinatupenda.
 
Aisee ukiwa busy ukawa hauingii hapa mara kwa mara unakutana na hizo sana.. Unaweza hisi una mkosi😀😀
😂😂😂yan me Mara zote humu huwa nakutana na picha za vyakula kutoka kwa Lizzy, nshawai bahatika kuona mguu wa chakorii na za wale wavaa makofia makubwàa, hata shingo huzion.
Vnginevyo ni ujumbe huo tu.😞😞😞
 
😅Hatuwazid nyie...

kuna post moja ya twitter nilicheka sanaa.
Mdada kapost Good morning to all ladies and other gender that betray Jesus
Alichojibiwa sasa 😄 Nikabaki kucheka tu
🤣🤣🤣🤣 kukataa siwezi ila nasisitiza kwamba.....nyie ni wabaya!!!

Tupia screenshot shot ya alichojibiwa na sie tufurahi 🙂
 
🤣🤣🤣🤣 kukataa siwezi ila nasisitiza kwamba.....nyie ni wabaya!!!

Tupia screenshot shot ya alichojibiwa na sie tufurahi 🙂
Screenshot_20210101-234518.png

😂😂Ubaya ubayani
 
Back
Top Bottom