Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Huhuhuuuuu....we will be there waiting f you to come baba...💃💃💃kabisa aisee ngoja nimalize kula vya mama vikiisha natimba 😀
Huhuhuuuuu....we will be there waiting f you to come baba...💃💃💃kabisa aisee ngoja nimalize kula vya mama vikiisha natimba 😀
Hivi tafsiri ya jina la hii pombe ni Mtakatifu Anna?See never Dry.View attachment 1664756
😁😁Mapema tuu sio
Poleeeh sanaaa.Habari washkaj zangu niliwamis Sana mwenzenu nilipata majanga sikumaliza mwaka vizuri ndio maana hamkuniona humu la kwa muda nilipata bonge la ajali wazee nikagonga watu bahati mbaya wakafa nimekaa Sana rumande nimetoka juzi mniombee nikae sawa kisaikolojia
Kipendhiii mbna siijui hii? Lol
Pole sanaHabari washkaj zangu niliwamis Sana mwenzenu nilipata majanga sikumaliza mwaka vizuri ndio maana hamkuniona humu la kwa muda nilipata bonge la ajali wazee nikagonga watu bahati mbaya wakafa nimekaa Sana rumande nimetoka juzi mniombee nikae sawa kisaikolojia
Kuna mwanapraise mwenzangu last year November aligonga mtoto wa watu mtaani kwao,akafa.Aiseee Pole sana ndugu yetu
Time heals mkuu yataisha yote hayo
Hata hivyo you are not only one ulie gonga watu, kaka yangu aliua mlevi
Talk to Us utoe huo mzigo rohoni Kakaa
Walikua wangapi ? ilikuaje kwani ?
Asante kwa maneno ya faraja ,, uko poa wewe nilikumis balaa nilitaka nikutaje kwenye kesi tuwe wote ndani.😆😆Pole sana
Mungu awafariji wafiwa,
Mungu akupe amani.
Happy New year,ya kale yote yamepita..mshukuru Mungu kwa yote na tambua kila Jambo hutokea kwa sababu.
Kwanini hukunitaja jamaniAsante kwa maneno ya faraja ,, uko poa wewe nilikumis balaa nilitaka nikutaje kwenye kesi tuwe wote ndani.![]()


Anza kuselfika mkuu..Huu Uzi ni wa kuselfika Ila mmeubadikisha. Hebu selfikeni basi
ungepiga maombi Kama Paulo na sila na milango ya gereza ifunguke,,simu walikwapua wahuni paleKwanini hukunitaja jamani
Halafu Basi tu sikujua mapema,ningekuja kukusaidia.
Dah jamaniungepiga maombi Kama Paulo na sila na milango ya gereza ifunguke,,simu walikwapua wahuni pale
pole sana..

.
.ningeazima simu ya afande nikiwa selo nichati sieti eeh 😆😆😆 hivi unanipenda kweli 😆😆😆Dah jamanipole sana..
Yaani ningenena kwa lugha za malaika hapo hadi wangekutoa mbona.
Ungeazima hata simu unipe taarifa.
Sasa si unanipa taarifa dk 1 tuningeazima simu ya afande nikiwa selo nichati sieti eehhivi unanipenda kweli
![]()







hahaha saivi kitambi kwisha nilikua sijawahi ingia aisee usiombe uje ingia ni kuchafu balaa msosi walikua wananiletea lakini kwa ule uchafu hapana aisee it's a bad experience ever, uko greencity ?Sasa si unanipa taarifa dk 1 tu
Dah,pole mno..vipi selo kukoje??
Hopefully kitambi kimepungua![]()
Pole sana ila afadhali kitambi kimeishahahaha saivi kitambi kwisha nilikua sijawahi ingia aisee usiombe uje ingia ni kuchafu balaa msosi walikua wananiletea lakini kwa ule uchafu hapana aisee it's a bad experience ever, uko greencity ?


nilimis kuona vitu vizuri vizuriKherini ya siku ya Kwanza ya MWAKA 2021.View attachment 1664888
Afadhali umetufungulia Mwaka kwa pichaKherini ya siku ya Kwanza ya MWAKA 2021.View attachment 1664888
