Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Asante na kwako pia heri ya mwaka mpya ChiefHeri ya mwaka mpya Arifu
Asante na kwako pia heri ya mwaka mpya ChiefHeri ya mwaka mpya Arifu
Kama kawaida yako.dah siku natoka nilimtafuna huyu mdudu kilo moja na nusu alone
😆😆😆Niko pekee yangu baba jamani..lohupo pekeako kweli huko ? Kuna namna 😀😃
Thanx Chak,Kabisa Yani..
Happy new year Chief
Hujabadilika sana lkni.itabidi ukija kule I na dabo L tukuandalie mapocho pocho babaBaada ya msoto kilo 6 zimekata
Thanks 🥂🥂🥂🥂Thanx Chak,
Happy new year kwako pia.
@billdragoHabari washkaj zangu niliwamis Sana mwenzenu nilipata majanga sikumaliza mwaka vizuri ndio maana hamkuniona humu la kwa muda nilipata bonge la ajali wazee nikagonga watu bahati mbaya wakafa nimekaa Sana rumande nimetoka juzi mniombee nikae sawa kisaikolojia
Mapema tuu sio
Pole Mungu akutie nguvu sana ilikuaje?!!Habari washkaj zangu niliwamis Sana mwenzenu nilipata majanga sikumaliza mwaka vizuri ndio maana hamkuniona humu la kwa muda nilipata bonge la ajali wazee nikagonga watu bahati mbaya wakafa nimekaa Sana rumande nimetoka juzi mniombee nikae sawa kisaikolojia
thanks alot mpendwa hakika in time nitarecover@billdrago
Pole sana Mkuu.. Hata sasa Mungu amekwisha kukusaidia.. Utakuwa sawa IJN.
Asante boss ni bodaboda walikua wamepanda mshikaki na Mimi nilikua Kasi ghafla wakaingia main road bila tahadhari nikawapitia na mie nikayumba nikaenda anguka bahati nzuri nilivaa mkanda sikupata majerahaPole Mungu akutie nguvu sana ilikuaje?!!
Pole sana kaka!Bodaboda hawa jamani ni majangaa matupuAsante boss ni bodaboda walikua wamepanda mshikaki na Mimi nilikua Kasi ghafla wakaingia main road bila tahadhari nikawapitia na mie nikayumba nikaenda anguka bahati nzuri nilivaa mkanda sikupata majeraha
Pole sana mkuu just relax. Wakati hausimamami hili nalo litapita.Habari washkaj zangu niliwamis Sana mwenzenu nilipata majanga sikumaliza mwaka vizuri ndio maana hamkuniona humu la kwa muda nilipata bonge la ajali wazee nikagonga watu bahati mbaya wakafa nimekaa Sana rumande nimetoka juzi mniombee nikae sawa kisaikolojia
kabisa aisee ngoja nimalize kula vya mama vikiisha natimba 😀Hujabadilika sana lkni.itabidi ukija kule I na dabo L tukuandalie mapocho pocho baba
Sio kweli ndugu. Ziko jela za namna nyingi katika tafsiti ambazo mwanaume huwa anapitia lakini si kwakwamba kutokuwekwa jala ya polisi au ya magereza sio mwanaume!!Kabisaa kama hujawai kaa mule huna Tofaut na other gender...
Pia ukitoka tu nguo unatakiwa uzichome zile kuondoa nuksi.
vipi mkuu ushazitia Moto
Kwa upande mwingine imekua heri!Baada ya msoto kilo 6 zimekata