Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huu Ni Mwaka alioufanya Bwana
2021

Heri ya Mwaka mpya kwa kila mmoja

•Bwana akubariki na kukulinda
Ulinzi wa damu yake uende pamoja nawe,akulinde na hila na hatari na magonjwa na ajali..ukawe salama.

•Bwana akuangazie Nuru za uso wake na kukufadhili.
Mwanga wake ukafanye njia juu yako ..ukafungue mafanikio katika uchumi na katika Mambo yote.

•Bwana akuinulie uso wake na kukupa amani.
Amani yake iwe pamoja nawe,katika nyakati zote amani yake itawale moyoni mwako..uso Wake uende pamoja nawe.

Natamka mafanikio na Baraka,
Mwaka huu ukawe wa mafanikio
Ukawe wa ushuhuda,ukawe was neema,ukawe wa kuvuka katika Mambo yote.
Mungu akubariki kazi yako ikazae moja kwa thelathini hadi Mia .
Upendo wetu uzidi kudumuView attachment 1664348
 
Napenda kuwatakia Kheri ya mwaka mpya,
Depal, rafiki na ndugu angu wa faida,

Chakorii , kipendhiiiii na ni zaidi ya kila kitu kwangu.

Saint Anne , mtakatifu, na mshauri wangu, ni zaidi ya mlezi.

mtu chake , daddie ake mimi, naomba unisamehe km nimekukosea, unavonichunia naumia moyo kid ako.

@Zoë , huyu ni mommy angu, ila amepotea San sijui yuko wapi nime mmiss moah.

Culture Me, babeeh ake mie, vile unajua nakupendaga.

moj6 , Ex nimekumiss moaah, nisamehe bado nakupenda.

yna2 , ni cc angu wa damu, unajua mdogo ako najivunia kua na dada km wee

Karma , ni 1 kat ya watu ninao wa admire San humu, love u.

Heaven Sent , wewe ni kiongozi wa mafunzo ya maisha kwangu, nakupenda sana.

amu , shangazi angu wa ukweli, nimeku miss San.

Lizzy, ni rafiki angu wa faida.

Na wengine wote, nawatakia kheri, baraka, fanaka tele.

Love urs moaah.
View attachment 1664296
Yeuyeewww 🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️Asante kipenzi changu....😘😘😘😘😘
 
Ubarikiwe pia..
Kiroho Mwaka huu ukawe wa mabadiliko kwako,Kiu yangu ni kuona Mungu anakutengeneza kwa kadiri ya mapenzi yake kwa ajili ya kazi yake..akaondoe uovu wote na udhaifu,akufanye kiumbe kipya na iwe hivyo.
Mungu akukumbuke taaluma yako na akuvushe.
Mafanikio na baraka viwe juu yako.
Ameeeen mtakatifu, mshauri na mlezi wangu, maombi haya yakatimie kwa uwezo wake Allah.
 
Huu Ni Mwaka alioufanya Bwana
2021

Heri ya Mwaka mpya kwa kila mmoja

•Bwana akubariki na kukulinda
Ulinzi wa damu yake uende pamoja nawe,akulinde na hila na hatari na magonjwa na ajali..ukawe salama.

•Bwana akuangazie Nuru za uso wake na kukufadhili.
Mwanga wake ukafanye njia juu yako ..ukafungue mafanikio katika uchumi na katika Mambo yote.

•Bwana akuinulie uso wake na kukupa amani.
Amani yake iwe pamoja nawe,katika nyakati zote amani yake itawale moyoni mwako..uso Wake uende pamoja nawe.

Natamka mafanikio na Baraka,
Mwaka huu ukawe wa mafanikio
Ukawe wa ushuhuda,ukawe was neema,ukawe wa kuvuka katika Mambo yote.
Mungu akubariki kazi yako ikazae moja kwa thelathini hadi Mia .
Upendo wetu uzidi kudumuView attachment 1664348
AMINAAAAAAAAAAH
 
Asante mdogo wangu
Ila sikujua kama ulishindwa kugundua kuwa mimi ndiyo zoë

Kheri ya mwaka mpya dear
Ukawe mwaka wenye kheri na baraka tele kwako kipenzi
Oooooh jomoneeeeeh sasa why hata hukuninong'oneza kuwa ni wee, japo nlkua najua mna tabia za kufanana, maan kwenye uzi wa introvert ulivojipambanua na Zoë ni same, ila skuwaza km n m2 m1.

Love u sana na ninazidi kukupenda.
 
Habari washkaj zangu niliwamis Sana mwenzenu nilipata majanga sikumaliza mwaka vizuri ndio maana hamkuniona humu la kwa muda nilipata bonge la ajali wazee nikagonga watu bahati mbaya wakafa nimekaa Sana rumande nimetoka juzi mniombee nikae sawa kisaikolojia
 
Habari washkaj zangu niliwamis Sana mwenzenu nilipata majanga sikumaliza mwaka vizuri ndio maana hamkuniona humu la kwa muda nilipata bonge la ajali wazee nikagonga watu bahati mbaya wakafa nimekaa Sana rumande nimetoka juzi mniombee nikae sawa kisaikolojia

Aiseee Pole sana ndugu yetu
Time heals mkuu yataisha yote hayo
Hata hivyo you are not only one ulie gonga watu, kaka yangu aliua mlevi

Talk to Us utoe huo mzigo rohoni Kakaa
Walikua wangapi ? ilikuaje kwani ?
 
Aiseee Pole sana ndugu yetu
Time heals mkuu yataisha yote hayo
Hata hivyo you are not only one ulie gonga watu, kaka yangu aliua mlevi

Talk to Us utoe huo mzigo rohoni Kakaa
Walikua wangapi ? ilikuaje kwani ?
Asante bro , nilikua nimetoka wilaya fulani huku nyanda za juu kusini narudi mkoani nilikua speed kidogo Sasa ghafla siunajua mambo ya vijijini jamaa wamepakiana mshikaki wakawa wanaingia mainroad bila tahadhari nikataka kuwakwepa nikashindwa nikawapitia na Mimi nikayumba nikaenda anguka mbele kidogo palikua na watu wakajaa pale Kama ujuavyo ukigonga boda inaonekana mwenye gari ndio ana shida Basi ikawa tafrani pale wakakomba kila kitu changu nurusa wanakijiji waniue Askari wakaja ndio kuwekwa ndani wale walifariki wawili mmoja yupo hospitali Mimi sikuumia ingawa gari iliharibika kabisa
 
Oooooh jomoneeeeeh sasa why hata hukuninong'oneza kuwa ni wee, japo nlkua najua mna tabia za kufanana, maan kwenye uzi wa introvert ulivojipambanua na Zoë ni same, ila skuwaza km n m2 m1.

Love u sana na ninazidi kukupenda.
Ni mimi my dear
Asante jamani nakupenda pia
 
Habari washkaj zangu niliwamis Sana mwenzenu nilipata majanga sikumaliza mwaka vizuri ndio maana hamkuniona humu la kwa muda nilipata bonge la ajali wazee nikagonga watu bahati mbaya wakafa nimekaa Sana rumande nimetoka juzi mniombee nikae sawa kisaikolojia
Duh pole sana mkuu
Mungu akupiganie sana rafiki
 
Habari washkaj zangu niliwamis Sana mwenzenu nilipata majanga sikumaliza mwaka vizuri ndio maana hamkuniona humu la kwa muda nilipata bonge la ajali wazee nikagonga watu bahati mbaya wakafa nimekaa Sana rumande nimetoka juzi mniombee nikae sawa kisaikolojia
Pole sana mkuu billdrago, hakika style uliyomaliza mwaka sio poa ila hayo ndio maisha ya mwanadamu. Muda ni tiba tosha, pole kwa familia za waliotangulia.
 
Asante bro , nilikua nimetoka wilaya fulani huku nyanda za juu kusini narudi mkoani nilikua speed kidogo Sasa ghafla siunajua mambo ya vijijini jamaa wamepakiana mshikaki wakawa wanaingia mainroad bila tahadhari nikataka kuwakwepa nikashindwa nikawapitia na Mimi nikayumba nikaenda anguka mbele kidogo palikua na watu wakajaa pale Kama ujuavyo ukigonga boda inaonekana mwenye gari ndio ana shida Basi ikawa tafrani pale wakakomba kila kitu changu nurusa wanakijiji waniue Askari wakaja ndio kuwekwa ndani wale walifariki wawili mmoja yupo hospitali Mimi sikuumia ingawa gari iliharibika kabisa
pole Sana kiongozi nahisi ndio wewe uliekua na rangerover discovery nyeusi ulikua peke ako ile njia ya ruvuma njombe , pole Sana boss nilipita pale watu hawana huruma inasemekana ulibeba mpunga mwingi watu wakaanza kugawana hela dah dunia hii jamaa mmoja shuhuda alisema ulikua na zaidi ya mill zaidi ya mill 50 cash duu hope yataisha mkuu be strong time heals
 
Habari washkaj zangu niliwamis Sana mwenzenu nilipata majanga sikumaliza mwaka vizuri ndio maana hamkuniona humu la kwa muda nilipata bonge la ajali wazee nikagonga watu bahati mbaya wakafa nimekaa Sana rumande nimetoka juzi mniombee nikae sawa kisaikolojia
Pole sana, kila kitu kitakuwa poa muda si mrefu..
 
Back
Top Bottom