

Haya basi Anne, tuyamalize. Mimi huko wala...Mbona nimekujibu!
Au ulitaka jibu gani?
Nimekuambia umuulize mwenyewe kwa sababu sipo kwenye kamati yake ya huduma,siwezi jua kiasi anachokusanya


Uhakikishe unaenda kumuuliza upate uhakika,pia umfwatilie umsikilize..usipende kusikiliza maneno ya vijiweni mara nyingi wanaoyaongea unakuta hata kwenye mafundisho yake hawajawahi kudhuria ila kazi yao kuropoka tu mtaani uongo.Haya basi Anne, tuyamalize. Mimi huko wala...
Eti yule babez wako wa humu ni nani vile![]()


anajijua...au nimtaje?Cheka tu mama![]()
Eti tofauti na wanawake wengine wanawabebisha kila mwanaume.
Umenichekesha
Mtaje ili wasije kukuibiaUhakikishe unaenda kumuuliza upate uhakika,pia umfwatilie umsikilize..usipende kusikiliza maneno ya vijiweni mara nyingi wanaoyaongea unakuta hata kwenye mafundisho yake hawajawahi kudhuria ila kazi yao kuropoka tu mtaani uongo.
Kwenye huu Uzi Nina babe mmoja tuanajijua...au nimtaje?



Yaani unaweza kuandika sentensi ukashangaa vile tafsiri mia tofauti na ulichotaka watu waelewe, tuelewe tu hivyo dota, hakuna kilichoharibika.Cheka tu mama
Japo naona nimeeleweka vibaya sijui
To make this thing clear mtu chake na Chakorii hawana mahusiano ya aina yoyote.kinachoongeleka hapa selfika kinakaa hapa hapa selfika hakijawahi kutoka wala kuhamia Kwenye Mawasiliano mengineKwani ukiwa na mbebez humu kuna shida basi mama, tulia hivyo hivyo na mtu chake wako. Sisi na watu wetu ujuwe..hahaha!
Binadamu huwa tunaelewa kile tunachotaka Sie kuelewa na si kile kilichokusudiwa kuelewekaYaani unaweza kuandika sentensi ukashangaa vile tafsiri mia tofauti na ulichotaka watu waelewe, tuelewe tu hivyo dota, hakuna kilichoharibika.
AnajijuaMtaje ili wasije kukuibia
Kwani anakubali kushikwa mkono?





🥂🥂Cheka tu mama
Japo naona nimeeleweka vibaya sijui
Nasubiri selfie yakokwahiyo si habari ya kweli?

🥂Yaani unaweza kuandika sentensi ukashangaa vile tafsiri mia tofauti na ulichotaka watu waelewe, tuelewe tu hivyo dota, hakuna kilichoharibika.
Utani tu bwana! Hata akiwa bebez wako kwani ipo shida basi, take it easy!To make this thing clear mtu chake na Chakorii hawana mahusiano ya aina yoyote.kinachoongeleka hapa selfika kinakaa hapa hapa selfika hakijawahi kutoka wala kuhamia Kwenye Mawasiliano mengine
Yes Eli79 yawezekana wewe unatania lkni kuna mamtu zingine zinaamini kinachoendelea public basi ni uhalisia.
Kungekuwa kunachochote kinachoendelea kati yetu hakika msingeona tuko comments hapa public.tungemaliziana pm huko au kupeana namba za simu tukamalizana huko nje na ndani ya JF tukaendelea kupritend wi don’t know each other.have I made myself clear to you guys!!!yes!
![]()
Usijali kawaida tu watu kuwa na mtazamo tofauti juu ya kauli fulani ndio ubinadamu huo.Cheka tu mama
Japo naona nimeeleweka vibaya sijui
😁😁relax.nafikiri sikuwahi kusema nilipokuwa nikiulizwa juu ya mtu chake nilikuwa naishia kucheka Cheka nikiona ni kawaida kumbe nilikuwa najidanganya.Utani tu bwana! Hata akiwa bebez wako kwani ipo shida basi, take it easy!
Oohh kumbe hii ndiyo iliyokuwa hofu yako? Basi ndiyo maana nikahisi tu kuwa lazima ulinielewa vibaya!To make this thing clear mtu chake na Chakorii hawana mahusiano ya aina yoyote.kinachoongeleka hapa selfika kinakaa hapa hapa selfika hakijawahi kutoka wala kuhamia Kwenye Mawasiliano mengine
Yes Eli79 yawezekana wewe unatania lkni kuna mamtu zingine zinaamini kinachoendelea public basi ni uhalisia.
Kungekuwa kunachochote kinachoendelea kati yetu hakika msingeona tuko comments hapa public.tungemaliziana pm huko au kupeana namba za simu tukamalizana huko nje na ndani ya JF tukaendelea kupritend wi don’t know each other.have I made myself clear to you guys!!!yes!
![]()
Sawa ngoja natuma muda si mrefu. Sema nikituma hapa wadau watasema ni skeleton imepigwa selfie maana si kwakukauka hukuNasubiri selfie yako![]()
