Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Oohh kumbe hii ndiyo iliyokuwa hofu yako? Basi ndiyo maana nikahisi tu kuwa lazima ulinielewa vibaya!

Sikiliza my dear kinachoongelewa humu JF huwa kinabaki kuwa cha humu humu JF! Hayo ya huko nje sisi hatuyajui mimi sijui wewe unafahamiana na nani na nani haufahamiani naye nje ya JF!

Na hata niliposema mtu chake ndiye mwanaume pekee unayembebisha humu JF nilimaanisha ni ile kiJF JF tu kama wanavyofanya watu wengine! Na siyo kwamba eti nimemaanisha wewe na mtu chake mnadate nje ya JF na wala sijawahi kuhisi hivyo!

Mbona wapo watu wengi tu humu wanabebishana na hawafahamiani kabisa nje ya JF wengine hata pm tu hawajawahi kwenda? Hapo nilikuwa nataka kumtania mtu chake tu kuwa mbona analalamikaga eti mademu wa JF hawamkubali wakati wapo wanaomkubali!

Tena yeye ana bahati amepata mwanamke anayembebisha yeye peke yake tofauti na wanawake wengine ambao wanabebisha kila mwanaume hadi hao wanaume wanaobebishwa unakuta wanaanza kuoneana wivu! Ambao nao najua ni ule ule utani wa humu humu JF tu!

Kama nilivyosema mimi humu JF sijui nani anafahamiana na nani na nani hafahamiani na nani na wala hakuna couple ninayoijua humu JF zaidi ya Smart911 na mahondaw na ni kwa sababu wao huwa wanajitangaza! Wengine wote wanaobebishana humu mie huwa nachukulia ni kama wanataniana tu!

All in all mimi na mtu chake hatufahamiani my dear wala hata pm hatujawahi kwenda lakini humu jukwaani tumeshachitchat mara kadhaa na huwa namuona ni mtu poa sana! Mimi simjui wala yeye hanijui hivyo hata mambo ya mahusiano yake mimi siyajui na utani wowote ninaomtania humu basi mie nachukulia ni wa humu humu tu!

Kama yuko mtu mwingine aliyeelewa vibaya hicho nilichoandika mimi sijui namsaidiaje kwa kweli! Kama nilivyosema kuwa binadamu huwa tunaelewa kile tunachotaka kuelewa sisi na si kile kilichokusudiwa kueleweka!
🥂🥂🥂guys🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
 
Inawezekana pia nikawa nimemjibu na yule mpumbavu aliyenifuata private kuniuliza upumbavu kumhusu mtu chake

Sasa watu kama hao ndiyo wenye matatizo! Imagine mimi tu mwenyewe ambaye nimeleta huo utani sijakufuata wewe wala mtu chake kuwauliza kuhusu hiyo ishu sababu mimi mwenyewe najua ni utani!

Sasa mtu anatoka huko alikotoka na kichwa chake cha panzi anabeba kila kitu humu JF kama kilivyo anakuja kukuuliza enhe kulikoni! Haki JF kuna watu wanachekesha jamani khaa basi nisamehe mwaya kwa huo utani!
 
Sasa watu kama hao ndiyo wenye matatizo! Imagine mimi tu mwenyewe ambaye nimeleta huo utani sijakufuata wewe wala mtu chake kuwauliza kuhusu hiyo ishu sababu mimi mwenyewe najua ni utani!

Sasa mtu anatoka huko alikotoka na kichwa chake cha panzi anabeba kila kitu humu JF kama kilivyo anakuja kukuuliza enhe kulikoni! Haki JF kuna watu wanachekesha jamani khaa basi nisamehe mwaya kwa huo utani!
27B88F63-C371-4B77-B4CA-3B74090F1F92.jpeg

🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂
🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
 
Utani tu bwana! Hata akiwa bebez wako kwani ipo shida basi, take it easy!
Yes hata akiwa babe wake wala hakuna shida! Tena mie nilichofanya hapo ni kama nilikuwa nampongeza mtu chake kuwa kapata hiyo bahati huku nikimsifia chakorii kuwa hana tabia ya kubebisha wanaume hovyo ile kiutaniutani kama wengine humu JF kwamba yeye katulia na babe wake mmoja tu!

Au daddy ni kama mimi nimsifie mama yangu espy kuwa hana tabia ya kubebishana na wanaume hovyo humu JF huwa naona anakubebisha wewe tu hivyo wewe ni mwenye bahati sababu umepata babe wa peke yako humu! Je hapo ndiyo nitakuwa nimemaanisha wewe na espy mnadate nje ya JF!
 
Yes hata akiwa babe wake wala hakuna shida! Tena mie nilichofanya hapo ni kama nilikuwa nampongeza mtu chake kuwa kapata hiyo bahati huku nikimsifia chakorii kuwa hana tabia ya kubebisha wanaume hovyo ile kiutaniutani kama wengine humu JF kwamba yeye katulia na babe wake mmoja tu!

Au daddy ni kama mimi nimsifie mama yangu espy kuwa hana tabia ya kubebishana na wanaume hovyo humu JF huwa naona anakubebisha wewe tu hivyo wewe ni mwenye bahati sababu umepata babe wa peke yako humu! Je hapo ndiyo nitakuwa nimemaanisha wewe na espy mnadate nje ya JF!
Karma mama kuwa na amani ishaisha Hiyo.

🥂🥂🥂guys
 
relax.nafikiri sikuwahi kusema nilipokuwa nikiulizwa juu ya mtu chake nilikuwa naishia kucheka Cheka nikiona ni kawaida kumbe nilikuwa najidanganya.

Kuna fala moja itakuwa inapitia comments hapa nafikiri nimeshaijibu tayari.“”chifu kupitia comments zilizotangulia naimani umeshapata jibu“”

Duuh basi wengine hatujawahi hata kuhisi kama kuna chochote kinaendelea huwa tunachukulia utani tu! Kumbe huo utani wangu leo hii ndiyo umeenda kuvalidate mawazo ya mtu fulani ambaye alikuwa na ujinga wake kichwani duuh!
 
Oohh kumbe hii ndiyo iliyokuwa hofu yako? Basi ndiyo maana nikahisi tu kuwa lazima ulinielewa vibaya!

Sikiliza my dear kinachoongelewa humu JF huwa kinabaki kuwa cha humu humu JF! Hayo ya huko nje sisi hatuyajui mimi sijui wewe unafahamiana na nani na nani haufahamiani naye nje ya JF!

Na hata niliposema mtu chake ndiye mwanaume pekee unayembebisha humu JF nilimaanisha ni ile kiJF JF tu kama wanavyofanya watu wengine! Na siyo kwamba eti nimemaanisha wewe na mtu chake mnadate nje ya JF na wala sijawahi kuhisi hivyo!

Mbona wapo watu wengi tu humu wanabebishana na hawafahamiani kabisa nje ya JF wengine hata pm tu hawajawahi kwenda? Hapo nilikuwa nataka kumtania mtu chake tu kuwa mbona analalamikaga eti mademu wa JF hawamkubali wakati wapo wanaomkubali!

Tena yeye ana bahati amepata mwanamke anayembebisha yeye peke yake tofauti na wanawake wengine ambao wanabebisha kila mwanaume hadi hao wanaume wanaobebishwa unakuta wanaanza kuoneana wivu! Ambao nao najua ni ule ule utani wa humu humu JF tu!

Kama nilivyosema mimi humu JF sijui nani anafahamiana na nani na nani hafahamiani na nani na wala hakuna couple ninayoijua humu JF zaidi ya Smart911 na mahondaw na ni kwa sababu wao huwa wanajitangaza! Wengine wote wanaobebishana humu mie huwa nachukulia ni kama wanataniana tu!

All in all mimi na mtu chake hatufahamiani my dear wala hata pm hatujawahi kwenda lakini humu jukwaani tumeshachitchat mara kadhaa na huwa namuona ni mtu poa sana! Mimi simjui wala yeye hanijui hivyo hata mambo ya mahusiano yake mimi siyajui na utani wowote ninaomtania humu basi mie nachukulia ni wa humu humu tu!

Kama yuko mtu mwingine aliyeelewa vibaya hicho nilichoandika mimi sijui namsaidiaje kwa kweli! Kama nilivyosema kuwa binadamu huwa tunaelewa kile tunachotaka kuelewa sisi na si kile kilichokusudiwa kueleweka!
Mpendwa umeeleweka
 
Back
Top Bottom