linahbaby
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 1,087
- 3,084
Achana na kutamani pisi, huyu mwamba kavurugwa kabisa na cocasticPale wanaume tunapo fanya uzinifu kwa kutamani hizi pisi,
kitabu cha Mathayo kinasema kwa mwanaume alietamani kwa muangalia mwanamke basi ameshatenda dhambi.. Leo umeshatamani pisi ngapi tangu umeamka
Si yanasiatili kbsa hyo mkuu au tutaweka order watushonee sket na blauzi
maan yangu kuna madizain wakali alafu ile ramani ikalie nyuma kwenye vishundo
hyo itakaa poa sna ata ukiamka kwenda kupeleka sadaka raman inasomeka vizuriAu nimesema uongo ndugu yangu?Unasema kweli?
Nyie wenye vishundu mtaletewa kapu la sadaka pale mlipo msinyanyuke maana mtawachanganya wauminiSi yanasiatili kbsa hyo mkuu au tutaweka order watushonee sket na blauzimaan yangu kuna madizain wakali alafu ile ramani ikalie nyuma kwenye vishundo
hyo itakaa poa sna ata ukiamka kwenda kupeleka sadaka raman inasomeka vizuri
Nyie wenye vishundu mtaletewa kapu la sadaka pale mlipo msinyanyuke maana mtawachanganya waumini













































Nimecheka kwa sauti eti ila mnajua kunifurahisha wallahWacha weee...safi...🥂🥂🥂🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️Haya ndo maneno sasaYameisha isha mbona kitamboo mkuu na wala mtu chake asizani ndo nitaacha kumpenda nampenda tu hvo hvo ilo ajue...ata hvo kupigwa ngumi na mumeo si ishara kwamba hakupendi mengine yanakuwaga mahaba tu![]()
KweliAu nimesema uongo ndugu yangu?
MuoneWacha weee...safi...Haya ndo maneno sasa

HahahhaUmeshazini kwenye picha za mitandao kuni zinakungoja... Unstall Instagram apkkukaa karibu na Mungu


basi hii mbingu niya wana waizrael tuuHiyo kitu vidume wengi ndo inawapeleka kanisaniWe hadi kanisani unaangalia pisi kali


Nyie wenye vishundu mtaletewa kapu la sadaka pale mlipo msinyanyuke maana mtawachanganya waumini
Mambo ya kutamanishana haipo kabisa safi sanaUnatia huruma maana kuangalia wadada insta unataka bado Mungu pia unamtakaHahahhabasi hii mbingu niya wana waizrael tuu
Mkuu, is this a man or a woman(a boy or girl)?
Sijatamani lakini mkuuUnatia huruma maana kuangalia wadada insta unataka bado Mungu pia unamtaka

so sijala mzigo kwa assumed
😆Ngoja nikamate nikae nitulieMovei hii tuko series ya nne, kamata![]()