Dea umesha ondoka dom na kutud mbeya.
I bet kanaitwa ka junior.
Asante mpenzi 🤗Katoto kazuri![]()
😆😆😆...sikuwahi hata kufikiria. Alafu kina Jr kama wakorofi korofi sana 😏😏I bet kanaitwa ka junior.
Umekuza dear, Jah akalinde katoto kazuri.Asante mpenzi![]()
Hizo kazi za jikoni unanitesea mwanangu, muache akacheze game
Wajinga sana hao watoto mimi nikisikia mtoto anaitwa ivyo ata simtaki kabisa...sikuwahi hata kufikiria. Alafu kina Jr kama wakorofi korofi sana
![]()
Inshallah!!😇😇Umekuza dear, Jah akalinde katoto kazuri.
😀😀 anakata zake mwenyewe za kula. Very weird kid....anapenda sana 🍅🍅🙂Hizo kazi za jikoni unanitesea mwanangu, muache akacheze game
😆😆😆 japo sipendi ku-generalize vitu ila kuna kaukweli flani hivi kwa baadhi yao. Nna mshkaji wangu anaenda kwa jina hilo....hadi nimemchoka 😑😑Wajinga sana hao watoto mimi nikisikia mtoto anaitwa ivyo ata simtaki kabisa
Ohhh ni mtoto mzuri sana, imekaa vyemaanakata zake mwenyewe za kula. Very weird kid....anapenda sana
Alafu anapenda kazi ila za jikoni namkatalia bana. Mpaka awe mkubwa mkubwa. Leo asubuhi kaamkia kuosha viatu so nautumia utayari wake wa kufanya kazi vizuri
View attachment 1662131
by him....
Huu ni msimu wa wenye pesa hakyanani, Mungu anawaona
