Dea umesha ondoka dom na kutud mbeya.Jioni
Kabwe Mbeya[emoji7][emoji177][emoji3590]View attachment 1661680
Katoto kazuri [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
I bet kanaitwa ka junior.Tumekua....hatuchoshani sana sasa [emoji846][emoji846]View attachment 1662100
Asante mpenzi 🤗Katoto kazuri [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
😆😆😆...sikuwahi hata kufikiria. Alafu kina Jr kama wakorofi korofi sana 😏😏I bet kanaitwa ka junior.
Umekuza dear, Jah akalinde katoto kazuri.Asante mpenzi [emoji847]
Hizo kazi za jikoni unanitesea mwanangu, muache akacheze gameTumekua....hatuchoshani sana sasa [emoji846][emoji846]View attachment 1662100
Wajinga sana hao watoto mimi nikisikia mtoto anaitwa ivyo ata simtaki kabisa[emoji38][emoji38][emoji38]...sikuwahi hata kufikiria. Alafu kina Jr kama wakorofi korofi sana [emoji57][emoji57]
Inshallah!!😇😇Umekuza dear, Jah akalinde katoto kazuri.
😀😀 anakata zake mwenyewe za kula. Very weird kid....anapenda sana 🍅🍅🙂Hizo kazi za jikoni unanitesea mwanangu, muache akacheze game
😆😆😆 japo sipendi ku-generalize vitu ila kuna kaukweli flani hivi kwa baadhi yao. Nna mshkaji wangu anaenda kwa jina hilo....hadi nimemchoka 😑😑Wajinga sana hao watoto mimi nikisikia mtoto anaitwa ivyo ata simtaki kabisa
Ohhh ni mtoto mzuri sana, imekaa vyema[emoji3][emoji3] anakata zake mwenyewe za kula. Very weird kid....anapenda sana [emoji534][emoji534][emoji846]
Alafu anapenda kazi ila za jikoni namkatalia bana. Mpaka awe mkubwa mkubwa. Leo asubuhi kaamkia kuosha viatu so nautumia utayari wake wa kufanya kazi vizuri [emoji846][emoji85]
View attachment 1662131
[emoji991] by him....
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]Inshallah!![emoji56][emoji56]
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Karibuni [emoji3056][emoji3056]View attachment 1662133
Umeliamsha mapema sana [emoji23][emoji23]
Huu ni msimu wa wenye pesa hakyanani, Mungu anawaona[emoji39]