Hivi sasa ulitegemea Mimi nishindanishwe na miminimama na yna2.Hahahah ndo maana umekuja baada ya miminimama kushinda?







Hebu fanya km unajaribunitawacha mbaliiiii shauri yenu.
😄😄hivyo hivyo visoup dish na mifupa ndo navyovitakaMshaniona kuna kitu kimebaki? Shingo Lina mifupa na visoup dish
Tupia yako mkuu
Mkuu huu uzi ni shidaaaaaAcha kabisa

ni mishepu tuu,,









Mimi shindano najua sitashinda ila watufikirie na sisi ambao tunashindwa.
Zawadi itolewe kwa aliyeshinda na ambaye hajashinda![]()
Oya masela tangazeni basi kazi yangu kusifia naamini soda sikosi awamu hii
Miminimama kanizika huku najiona
Hata mimi nilitegemea awe kama ashaboko kumbe katoto kadogo kadogo mwanaume anakabeba na kukimbia nako.Watu ni waongo humu saint alinizuga juzi eti ana kitambi kumbe kiuno nyigu
unanijua vizuri sana.
Ila endelea kunifananisha kwa muda.
Kusiwe na option ya delete kwa uhai wa huu uziKipi?