Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,679
- 208,842
😂😂😂 mguu wa shamsa unajulikana dadaUsituletee miguu ya shamsa lakini
😂😂😂 mguu wa shamsa unajulikana dadaUsituletee miguu ya shamsa lakini
Hahahahanaomba picha ya shingo yako tu Mimi[emoji86][emoji86]
UwiiiiiiiAsante sana kwa heshima kibwa ulonipa naitupia na whatsup
Sana, na ni mtu peace Sana.
Jikaze mzee baba 😂😂😂😂Duuu huu uzi ukikaa hapa kama una mtu wako kuachika ni dk 0...unaweza kujikuta umetongoza hapa hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usijali kabisaa my dearSakayo najua kusoma mi nataka jero tu la soda
[emoji85][emoji85][emoji85]Akicheka na mwanya[emoji178]
HahaAnataka kujisahaulisha hapa
[emoji109][emoji109]Without..... Black mirrors View attachment 1221820
Halafu hiyo ipo sana , babe akikupiga hana haja ya kukuandaa maana automatiki unalowa[emoji134][emoji134][emoji134]
Haiwezekani.Na mi ndo nakutaka huko huko nikushinde nikuzomee mpk ulie
Maarufu wapi bwana.. huyo ndugu yangu wa humu [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa hiyo mzee baba pamoja na kuwa sponsor wa shindano unaamua kutuharibia kwa washindi uwabebamo mwenyewe eti[emoji848][emoji848][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaniiiihalafu hii sura mbona kama si ngeni[emoji848][emoji848]
Sema mi kumbukumbu zangu ni orijojo mtupu ndo maana hata siziamini
Ila huo mwanyaaa....huo mdomooo...hao mashkiooo dah[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Leo nitalala usingizi mzuri sana aisee
Niko nasubiria hapa👀👀Haha
Tutajua utakaposhindwa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi Nina bonge la guu..shauri zako.
Jikaze mzee baba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]