Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,620
- 69,356
Hahahahahaaa
![]()
![]()
eti nyau, huwezi jua ulinzi wako ni invicible
utashangaa tu kala makonzi kwa sababu yako
![]()
![]()
eti nyau, huwezi jua ulinzi wako ni invicible
utashangaa tu kala makonzi kwa sababu yako
Woyoooooolabda nikuhamishe tukaishi kenya huko
Sibanduki tena hapa kwenye huu uzi ***** naona napitwa tuu na vitu vizur






Hamna asije kumshinda huyo ni ngumuWewe si ndo mshindi-mshiriki?? Unakosaje sasa kwa mfano.!
Kesho ni kesho.nyie mnata watu waache kufanya kazi waamkie hapa



wooiii🙆🏽♂️🙆🏽♂️Ai trasti zem noti yuu
nyie mnata watu waache kufanya kazi waamkie hapa
HahaMshape matata.
Andaeni tuu mbavu za kunicheka.
mpiga kura wako mtiifu nipo hapa![]()
Umepamba motoAisee huu uzi umecottonfire balaa

WarereeNilipokuwa sijakuona watu walikuwa wananiringishia humu so na wao waipate fresh hahahaha
Mjini kutesa kwa zamu hahahah
Lizarazu sitoki hapa bila picha yakoNilishagamwambia kuwa napenda watu kama yeye hapo nakuwaga mpole km kuku mwenye mdondo







Nikiwataja watanichamba hapa maana wana mdomo hao hahahahaNani huyo alokuwa anakuringishia eti
Mod wamesikiliza kilio changu