Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,146
- 41,401
Nyie ni wazuri nakubalii



ya kweli hayo?Au ndio kutufurahisha tuendelee kupost?
Nyie ni wazuri nakubalii



ya kweli hayo?Hahahahahaha![]()
![]()
eti nyau, huwezi jua ulinzi wako ni invicible
utashangaa tu kala makonzi kwa sababu yako
Mtag Kama unamjua Jina
Nilipokuwa sijakuona watu walikuwa wananiringishia humu so na wao waipate fresh hahahaha
Muone kwanza
Kwa hiyo umeamua kunisema mimi .
Ukuje kulee
SHeheheee.. embu nitajie herufi ya kwanza ya jina langu.
Na kesho naruhusiwa kushiriki?
Ai trasti zem noti yuuhahahaha
Si yuu sii evrebade izi kusifiaring yuu
Kule si Friday sasa..
labda nikuhamishe tukaishi kenya hukoHahahahahaha
Itabidi niwe najiamini sasa
lile guu acha kabisa
Mshape matata.Hapana mumie, nili imagine tu huo m-shape wako.!!
Hapa mshana itabidi awe anatusaidia
Nani huyo alokuwa anakuringishia etiNilipokuwa sijakuona watu walikuwa wananiringishia humu so na wao waipate fresh hahahaha
Mjini kutesa kwa zamu hahahah
atuoneshe nini eti Anne??
Kule si Friday sasa..
Ukishindanisha miguu atashinda sasa mimi sitaki ashinde.lile guu acha kabisa