Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😆😆😆😆😆chizi kabisa blaza..eti juice kola😅😅

Najifungia ndani huko kwa jirani najikuta kufanya nini blaza
Unasema wewe mi mbona nilishawahi jikuta chumbani kwa house girl! Ila shetani mbaya nyinyi..😂
 
Unasema wewe mi mbona nilishawahi jikuta chumbani kwa house girl! Ila shetani mbaya nyinyi..😂
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆wew si Mzima blaza hakitena.

Kwa hiyo mkajikutakitandani😅😅
 
Ndio dada yeye ndo ajuae na pia naomba awaangalie Hawa wanaotunga majina ya vilevi ati safari lager! Ndio maana ikanisafirisha mpk chumbani kwa dada wa kazi.. we acha tu..🤣🤣
Kwahiyo ukasafarika mpka kwa lager(housegirl)😆😆😆

Jamani sina kaka hapa
 
Kwahiyo ukasafarika mpka kwa lager(housegirl)😆😆😆

Jamani sina kaka hapa
Kaka unae sema ndo hivyo kachangamka..😂

Na kesho ndo sikukuu sijui sana lkn nitapiga simu waufunge kabisa mlango wa dada wa kazi.. alasivyo..🤣🤣
 
Kaka unae sema ndo hivyo kachangamka..😂

Na kesho ndo sikukuu sijui sana lkn nitapiga simu waufunge kabisa mlango wa dada wa kazi.. alasivyo..🤣🤣
Lasivyo unaweza kujikuta kwa lager 😅😅😅

Halafu uje ukatae kibendi chako akianza kula udongo kama nyoka
 
Back
Top Bottom