Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,224
Hahahaaa!! Vitu vinasafisha macho
Hahahaaa!! Vitu vinasafisha macho
Ooooh!!!! Nimekumbuka aiseeShukrani sana.. Watu wamefukua makaburi.
Sent using Jamii Forums mobile app


Dah, shem naomba unisamehe niseme neno. "Hapo usimame, utangulie niwe nyuma yako ili niwe nakulinda", teeeeh sidhani kama nitafika bila kujikwaa.![]()









Nilishasahau hata.. kitambo sana..Waache tuu wafukue, Vizuri vinatafutwa bhanaa![]()
Wewe uliona wapi Shemeji anataka kutembea nyuma ya Shemeji yake? Halafu Mdogo wangu Espy ana taarifa na ulichoandika hapa kweli Shem?
Sent using Jamii Forums mobile app









Okay, Kama kuna nyingine kama bonus itakua safi sana
Hahahaha, ahsante ,nakuja Niko njianiUnajua nini kipenzi changu!!nilipika lakni sikula mpka urudi online nikukaribishe ndipo tule
Baba karibu chakula![]()
Nisaidie basi kumwambia.
Hapa mume tu ninae
Wewe uliona wapi Shemeji anataka kutembea nyuma ya Shemeji yake? Halafu Mdogo wangu Espy ana taarifa na ulichoandika hapa kweli Shem?
Sent using Jamii Forums mobile app





Wacha bwana!!Dah, shem naomba unisamehe niseme neno. "Hapo usimame, utangulie niwe nyuma yako ili niwe nakulinda", teeeeh sidhani kama nitafika bila kujikwaa.![]()
Kutaniana na shem wangu sio kosa bwana!Hapa mume tu ninae![]()
Wallah huu mwaka wangu, naenda ukweni dea, ila tunasafiri na private car, plz maombi yako muhimu mnooh.Wacha bhana..ndo unaenda ukweni!!
Naomba upande BM bus lile lizuri uje unipe mrejesho
Sina usingizi hata, tangulia nakuja.Eti eeh!!
Njoo tulale bwana.
Hapana aiseee... nadhani juu huko zipo..Okay, Kama kuna nyingine kama bonus itakua safi sana
Chukua tu boda kupenzi changu chakula kina poa.Hahahaha, ahsante ,nakuja Niko njiani
Acha kelele ushafika kwanza Au tuendelee na maombiWallah huu mwaka wangu, naenda ukweni dea, ila tunasafiri na private car, plz maombi yako muhimu mnooh.