Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dah, shem naomba unisamehe niseme neno. "Hapo usimame, utangulie niwe nyuma yako ili niwe nakulinda", teeeeh sidhani kama nitafika bila kujikwaa.

Wewe uliona wapi Shemeji anataka kutembea nyuma ya Shemeji yake? Halafu Mdogo wangu Espy ana taarifa na ulichoandika hapa kweli Shem?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom