Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,551
- 235,319
Sasa bora angeniuliza tu kama wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yule naye inawezekana kashapata info za huyu tunayemuongelea akajihisi pengine na zake zitakuwa zimemfikia maana siyo bure
Sina cantu ya mwili mama ipo ya nywele tuNami napakaa cantu mwilini, niletee tu. Hayo ya nywele baki nayo tu.
Code yenu siielewi hiii mfyuuu zenu acha nilaleSasa bora angeniuliza tu kama wewe
Kuninunia mimi sijui kosa,akwende zake[emoji1787][emoji1787]na mwaka unaisha hivyo,na siombi msamaha ng'oo kwa kununiwa bila kujua kosa.
Akipita ataona.
Acha tu tushikamane maana mmetukalia kooni hata hatupumui[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Humu wanawake 87% hampingani kwa lolote na mnaishi kwa kushikamana [emoji16]
Hapo vipi?Weka picha bwana acha siasa. Usiwe kama Heaven Sent
Leo ndio mimeamini hunipendi, kwa picha zooote huku duniani umeamua kuniwekea hii kweli? Si bora ungeniwekea hata ya ndoo[emoji2297][emoji2297][emoji2297]Hapo vipi?View attachment 1657276napunga kwanza.
Code yenu siielewi hiii mfyuuu zenu acha nilale
Hebu lala.Leo ndio mimeamini hunipendi, kwa picha zooote huku duniani umeamua kuniwekea hii kweli? Si bora ungeniwekea hata ya ndoo[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
unataka ujibu mapigoHapo vipi?View attachment 1657276napunga kwanza.
Sijaelewaunataka ujibu mapigo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Code yenu siielewi hiii mfyuuu zenu acha nilale
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo ndio mimeamini hunipendi, kwa picha zooote huku duniani umeamua kuniwekea hii kweli? Si bora ungeniwekea hata ya ndoo[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Nigawie mojaNjoo nikupulizie kiduchu hahah
Ooh lushoto sehemu ganiHome sweet home [emoji847]
Ila uroda wa kiyoyozi unapata.Magari ya watu[emoji23]
Kweupe kbsa binamuBinamu NMB hakuna foleni
Nyama choma kbsaaa[emoji23][emoji23][emoji23]Binamu
Nilishajua ni wewe, hakyanani ungekula bakora zile[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi mmemtaja au bado nilale tu? Kama mnamuogopa niambieni mimi nimtaje.
Hata wewe jirani yangu nipe nikukule nitafunga mdomo wangu [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Jirani bhana [emoji16][emoji16]