Tena walimpue tyuuuh huyo muhusika. Ili akome na tabia hii mbaya kwan n ujinga na ulimbukeni khaaah.Hii ni mbaya sana..hivi ni Kwanini asilipuliwe humu ndani ili hii tabia ikome??pengine labda kuna watu huko picha zao zines ambazo a na hawajijui..
Labda yaweza kusaidia akaacha huu upumbavu wake
Duuuh pole sana dear.Mie nilitamani nimuanzishie uzi! Ila nikaambiwa nimuache ndiyo anaweza akazileta jukwaani kabisa kwa hasira!
Ila tu niliambiwa nimfuate privately nimuambie kwanini anafanya hivyo na aache hiyo tabia maana tangu haya mambo yatokee sikutaka kumuambia chochote! Nilifuta tu namba zake ili aache kuona status zangu na wala hatuwasiliani tena tumebaki tunachekeana kinafiki tu humu JF japo mie unafiki siwezagi!
Ouyeaaaaaah babeeh, hapo tyuu nakuelewaga.Just do what yo heart tells you 2di..m........ker huu mwili si kitu tena ukishatengana na roho.
Ntaweka usiku.Weka wewe tukuone kwanza.
Huyo mtafutie engo yake kwanza..Mie nilitamani nimuanzishie uzi! Ila nikaambiwa nimuache ndiyo anaweza akazileta jukwaani kabisa kwa hasira!
Ila tu niliambiwa nimfuate privately nimuambie kwanini anafanya hivyo na aache hiyo tabia maana tangu haya mambo yatokee sikutaka kumuambia chochote! Nilifuta tu namba zake ili aache kuona status zangu na wala hatuwasiliani tena tumebaki tunachekeana kinafiki tu humu JF japo mie unafiki siwezagi!
Mwache ampotezee tu ukimya nao ni jibu tosha.Tena walimpue tyuuuh huyo muhusika. Ili akome na tabia hii mbaya kwan n ujinga na ulimbukeni khaaah.
Yaani humu unaweza kosana na watu kwa sababu ya mtu mwingine.Huyo mtafutie engo yake kwanza..
Kama unaweza kumfuata mkazungumza itakuwa njia nzuri na ya kibusara lkni pia unaweza ukamwambia pia akalipuka moto.
Hebu mkaushie tu mblock kuruhusu maisha mengine yaendelee usiwe unaona chochote chake.
Haki haipendezi kabisa..
Aaaah ouk sawaaah, pia ni kwel ukimya nao ni jibu zuri kabisa.Mwache ampotezee tu ukimya nao ni jibu tosha.
Mwanzo nilikuwa sijaelewa
Yaan kumbe picha zinachukuliwa status huko tsup? LolYaani humu unaweza kosana na watu kwa sababu ya mtu mwingine.
Yaani mfano wewe kachorii unaniweka status watsap,mtu anaiba picha yangu kwenye status yako halafu anaisambaza.
Baadaye nakuja kuipata inasambaa na nikikumbuka hiyo picha nilikupa wewe chakorii
Naanza kukuona mbaya kumbe Wala mtoto wa watu huna kosa.
Akipita ataona sababu anajijua kama anasoma kimyakimya au anafanyaje ujumbe ushamfikia popote alipoTena walimpue tyuuuh huyo muhusika. Ili akome na tabia hii mbaya kwan n ujinga na ulimbukeni khaaah.
Kibao kya ndesi kumbe ndivyo inavyofanyika🙆♀️🙆♀️Yaani humu unaweza kosana na watu kwa sababu ya mtu mwingine.
Yaani mfano wewe kachorii unaniweka status watsap,mtu anaiba picha yangu kwenye status yako halafu anaisambaza.
Baadaye nakuja kuipata inasambaa na nikikumbuka hiyo picha nilikupa wewe chakorii
Naanza kukuona mbaya kumbe Wala mtoto wa watu huna kosa.
Haki itabidi nimjue ili kujipa taadhariAkipita ataona sababu anajijua kama anasoma kimyakimya au anafanyaje ujumbe ushamfikia popote alipo
Tena mimi ndio aniache kabisa anavyotafuta picha yangu aendelee hivyo hivyo
Akili yangu naijua nikishapiga heinekenn zangu nakuja kuweka thread na kumtaja juu
Kumbe mi sio handisam? Lakini afadhali iwe hivyoHahaha mkuu unafikiri nakutania? Mie baba yangu siyo mzuri na ndiyo nimefanana naye copy hivyo mie siyo pisi kali wala sina uzuri wowote!
Hivi ni kini che wafanye wandee wakishambaa watana kwei, ambu ni rangi yenyu ye mng'alo. Moyo wangu uita kasi kwei shunie...nkunda siku ing'we nkunkhe zawadi spesho.
Hakuna kipare hapo dota!Duuh kipare ndiyo kirahisi hivyo? Maana hapo naona ni kiswahili tena kinachoeleweka kabisa hicho?
Jitahidi mamaHaki itabidi nimjue ili kujipa taadhari
Tena ufanye ivo tyuuuh, ili akome msieeew zake.Akipita ataona sababu anajijua kama anasoma kimyakimya au anafanyaje ujumbe ushamfikia popote alipo
Tena mimi ndio aniache kabisa anavyotafuta picha yangu aendelee hivyo hivyo
Akili yangu naijua nikishapiga heinekenn zangu nakuja kuweka thread na kumtaja juu