Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,620
- 69,356
Hahahahaha tusio nayo sie ni watamu....acha tujifariji no wayHaha
Nimecheka kwa uchungu sijui kwanini!!
Hahahahaha tusio nayo sie ni watamu....acha tujifariji no wayHaha
Nimecheka kwa uchungu sijui kwanini!!
Nimeona kuna hela zimemwaga humu ndani.
Hamna shindano lingine lililotangazwa?
Asante babeHivi ningelia kilio gani nisingefanikiwa kumuona dada yangu mrembo hivi, na imagine na kale ka mwanya pale kati..!
you're so cute mamaa! MUNGU fundii.!!
Nimeona.

Ubabe wa ligi kuu mfanya fujo km mimi haitakiwi man nyolonyolo mikono laini na ngozi yangu laini lazima ateleze na hapo dharau ndo zinapoanzia,,, ubabe wa kupiga hata pingu mikono huku unasukuma ngozi,,
Ndo maana tunapendaga wajeshi ni kwa sababu hizo,, Mzigua90 hebu njoo hapa
KarmaUnasemaje Marianah? Unataka nitume nini na kwa ajili gani?
Kuna mtu pia aliniambia nilivokuuliza akanipm akaniambia itakuwa ni .. na tumefanana midomo.
Ndio mana nikakuuluza kudhibitisha.
Itakuwa umemmiss masogangeHaha
Nimecheka kwa uchungu sijui kwanini!!
Walaaa zis iz vere truu mai dia😊😊We nijaze tuuu
Kama kuwa na chura isivyo rahisi
Ubabe wako wa mwandiko ukiwa na hivyo physically aaah warembo wote ni mali yakoUnasemaje Marianah? Unataka nitume nini na kwa ajili gani?
HahahahaWalaaa zis iz vere truu mai dia![]()
🤣🤣🤣Mi ilimradi nishakuona roho yangu kwatuuuHahahahahaha
Subiria kwanza nifute nakuja
Yaani wewe 😂😂
Mbona kama Haifutiki jamani
Niliona picha yako.
Kama vile nakujua.
Kwa hiyo umeamua kunisema mimi .Ana rangi nzuri na ngozi nzuri sura nayo nzuri,, wengine hapa sura ndefu kama mapapai ya kinyaru
waliojivuta wamepoteza bahati kubwa.... Kesho dau linapanda