atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,545
- 9,774
Moderator's pls tunaomba kwa heshima huu uzi option ya kufuta isiwepo kwa uhai wa huu uzi...
Kama kuwa na chura isivyo rahisiKuwa na pesa sio jambo rahisi.
Usiweke nakupa hela,sasa hivi.Naweka
Ngoja nimalize ku edit pic yanguNasubiri ataenilowesha nimlipizie .....haahahha kaa chonjo
Team vibonge mnatutenga sana
Siwezi kuwa aisee
Ilo jukwaa hata kuliona tu sijawai
Nataka nikuwone ya nini kunitesa hivi lakiniUkiniona utaumia sana,na utapata shida mno.
Salama yako usinione.
Aaah labda kwa ambaye hakuona picha yako😄Mimi shindano najua sitashinda ila watufikirie na sisi ambao tunashindwa.
Zawadi itolewe kwa aliyeshinda na ambaye hajashinda![]()
Hahahahaha changamka changamka basiNgoja nimalize ku edit pic yangu
Niliona picha yako.Kuwa na pesa sio jambo rahisi.
Nipe kwanza.Usiweke nakupa hela,sasa hivi.
Bibie tujikite kwenye mada.Naweka
Sana, Uzi unakaribia 10k.
![]()
Naunga mkono hii hojaModerator's pls tunaomba kwa heshima huu uzi option ya kufuta isiwepo kwa uhai wa huu uzi...
Yes... Savannah mbili hizo si mchezo
Jamani sponsor wa shindano naomba hela ya soda maana siwezi kushinda hata ivohadi itakapotangazwa tena
Siku inakwisha hiviView attachment 1221775
3000....huko