Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,777
Aaahhh kumbe ndo wewe sikuwa nimekariri jina mkuu![]()
Mi tayari mkuu, japo kwa leo sijatupia. Ila soon picha ina kuja. Kuna lady ali appreciate vien zangu jana ko ni mwanzo mzuri
Basi freeshiii
Aaahhh kumbe ndo wewe sikuwa nimekariri jina mkuu![]()
Mi tayari mkuu, japo kwa leo sijatupia. Ila soon picha ina kuja. Kuna lady ali appreciate vien zangu jana ko ni mwanzo mzuri
Uwe mweupe sasa..msije mharibu mtoto
Kwa hiyo size za Kati ndio nzuri!?
Soda zote Zina gesi.Ni soda ipi hiyo inayoshibisha nami nikaijaribu
Karibu kisomali chetu kisura cha kitoto ila mwandiko wa mwajuma ndala ndefu










.Iko wapi!?Mimi nilshatuma na sijaitoa
Utaumiza watoto wa kike wenzio humu,shauri yako.
Nimeona kuna hela zimemwaga humu ndani.Wala usisome comments we scroll uangalie picha mpk mwishoni ndo uanze soma comments utakazozikuta mwishoni
Asiyeelewa hapo tena basiHaswaaa,yaani ukati na kati ndio mzuri.
Mweupe wa kati na kati,mfupi si mrefu yaani wa kati na kati.
Kumbe ulikuwa unanisifia kinafiki eeehHaswaaa,yaani ukati na kati ndio mzuri.
Mweupe wa kati na kati,mfupi si mrefu yaani wa kati na kati.

Dooooohhh, sijui nakwama wapi mie.Wooooi
Mambo mazuri yamekupita
Niweke nisiweke?Utaumiza watoto wa kike wenzio humu,shauri yako.
Hapana..lile lilikuwa mwisho saa 9Nimeona kuna hela zimemwaga humu ndani.
Hamna shindano lingine lililotangazwa?
Mbabe wa kupiga watu au mbabe wa kutafuta hela na kukuletea nyingine zilizo baki zinachukiza mrembo.
Hela haswaaa.Nimeona kuna hela zimemwaga humu ndani.
Hamna shindano lingine lililotangazwa?
.
Mimi ni Dada mwajuma wa mbagala.
Nimepitwa kwa hiyoHapana..lile lilikuwa mwisho saa 9
Labda tusubiri baadae kama litakuwepo lingine



Kumbe ulikuwa unanisifia kinafiki eeeh![]()