Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,620
- 69,356
Mshana turithishane
Hebu uuanze basi uniachie mikoba dada
Hebu uuanze basi uniachie mikoba dada
Kuna mtu pia aliniambia nilivokuuliza akanipm akaniambia itakuwa ni .. na tumefanana midomo.Midomo,mashavu hahahaha





HallelujahMshana turithishane
Tumeni tena hizo pic zitubariki na ss jamenJamani jamanii loveee
Haloooo. Kwanini tumekukosea nini Dada? Tusamehesio kwa uzuri huo
Unasemaje Marianah? Unataka nitume nini na kwa ajili gani?
Nisije nikala shaba maana kwa uzuri huo utakuwa umewekewa ulinzi toshaNjoo chukua
Nilivyokuwa nakuwazia umezidi jameni🙆🏽♂️
Sawa andaa mbavu za kucheka.Mpaka nione
Kwanini uifute tena?😂😂Mbona kama Haifutiki jamani
Jamani jamanii loveee
Hamna hata nyau wa kunilinda mimiNisije nikala shaba maana kwa uzuri huo utakuwa umewekewa ulinzi tosha
We nijaze tuuuNilivyokuwa nakuwazia umezidi jameni
Yani we si kisu we ni panga aisee
Ilikuwa bado.Hahahahahaha
Hivi haijafutika jamanii
Hivi ningelia kilio gani nisingefanikiwa kumuona dada yangu mrembo hivi, na imagine na kale ka mwanya pale kati..!
HahahahahahaKwanini uifute tena?![]()