Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,381
- 176,236
Kuchepuka ni uamuzi ujue!! Haihitaji visingizio.unafanya niwaze kuchepuka sasa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuchepuka ni uamuzi ujue!! Haihitaji visingizio.unafanya niwaze kuchepuka sasa!
Kweli ni maamuzi, lakini baada ya wewe kuninyima haki yangu ya msingi kabisa...
Sijakunyima babe, umejinyima.Kweli ni maamuzi, lakini baada ya wewe kuninyima haki yangu ya msingi kabisa...
Ohhhhhhh okey sasa naelewa.. Ah wewee hata mimi, nimekumiss mno, ulipotelea wapi, ukaamua kubadilisha na ID, ndiyo maana nikawa najiuliza hivi huyu mtu mwenye katabia kakusema chati na picha nimlisikia wapi, karibu tena mpendwa nimekukumbuka mno mnooooPicha zangu za Hawachi zimejaa kwenye pm yako mpendwa

Aah aah basi hakuna namna.Polisi ni rafiki wa raia na sio adui![]()
Kwahiyo unaanza na kipi vifaranga, mtetea au jogooAah aah basi hakuna namna.
Option ni yako.Kwahiyo unaanza na kipi vifaranga, mtetea au jogoo
Atajua hajuiAnafeli sana, sitaki shemeji wa hivyo
Poaaaaah
Vizuri sana kama uko poaPoaaaaah
Naomba maharagwe ya nazi yenye pilipili lizzy na chai ya maziwa nizishushe hapa haraka hizo chapati







Nimekuja mbio zote nizifyeke nakula tatu tatu