Kwanini nisibebe mimba? Mchawi pesa tyuuuh, tunapanda majuu kupandikiza.Hebu nikuulize swali kipenzi changu.
Kwahiyo na wewe utakuja kubeba mimba kama mimi??maana unanivuruga ujue.
Au familia yako haitokuwa BMW
Hahaa kumbe ni muongo!
sawima bageshi. Usimsikilize Makiseo. Kama upo mitaa hii sema tukutane hata siku ya mnada tule nyama za kuchoma. Makiseo naona naye siku hizi ameanza viukorofi korofi sijui kwa nini. Home miye ni huko Nyaumata. Ukifika hapo Maswina walipojenga hospitali ya mkoa unakata Magharibi kidogo tayari unafika nyumbani...
Majigambo baada ya kupata mwenza dea, c unajua mapenzi ya ukubwani Dunia yote naiyona yangu, bas me na slay tyuuuh.Ila unaonekana unamajigambo babe ake...
Tuachane na hayo.
Mwandiko wako unaonyeshaga wewe hupendigi maneno wala ugomvi.
I’v Seen that for a very long taimu babe







Sijambo eti, ila nimesutwa leo sina hamuWanakuwaga na michambo hao usiwaguse.
Hujambo lakini
Anafeli sana, sitaki shemeji wa hivyoMe nisha mfungulia milango yote ila hataki kuingia
Wewe na mpare mnahitaji maombi ya ziadaZaman ndo nlkua mcharuko ila saiv, kwa mpare huyu ananipa kityuuh roho inapenda, mmmmh nimekua mpolee, msikivu, c unajua me mke wa mtu saiv.
Afu mniheshimu humu ndan, me ni mke halali wa mpare huyoo.
![]()



Ukirudi nyumbani ukanipikie#Daladalani
View attachment 1649794

Mmmmhhhhhhhsawima bageshi. Usimsikilize Makiseo. Kama upo mitaa hii sema tukutane hata siku ya mnada tule nyama za kuchoma. Makiseo naona naye siku hizi ameanza viukorofi korofi sijui kwa nini. Home miye ni huko Nyaumata. Ukifika hapo Maswina walipojenga hospitali ya mkoa unakata Magharibi kidogo tayari unafika nyumbani...





Sijambo eti, ila nimesutwa leo sina hamu





Nimecheka..
Duh nimetoka ndukiMmh!Shimba
Karma
Heaven Sent na shemeji yako
Eli79
Kwanza sijui kafichwa wapi leo
Sent using Jamii Forums mobile app