ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,443
- 119,022
Nipo Jana na leo shem wangu!
Nipo Jana na leo shem wangu!
Mmh!
Mmh!Nipo Jana na leo shem wangu!
Unaguna nini?Mmh!
Mguno.Unaguna nini?
Hahaha basi nitakutafuta tukale nyama choma Dutwa.sawima bageshi. Usimsikilize Makiseo. Kama upo mitaa hii sema tukutane hata siku ya mnada tule nyama za kuchoma. Makiseo naona naye siku hizi ameanza viukorofi korofi sijui kwa nini. Home miye ni huko Nyaumata. Ukifika hapo Maswina walipojenga hospitali ya mkoa unakata Magharibi kidogo tayari unafika nyumbani...
Dutwa machimboni watu wanapiga hela sana mkuu.Hahaha basi nitakutafuta tukale nyama choma Dutwa.
Mguno upi?Mguno.
Nipo ukanda huo. Huko machimboni nasikia kuna tope sana.Dutwa machimboni watu wanapiga hela sana mkuu.
Upo Bariadi-Simiyu?View attachment 1649887View attachment 1649888
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Tope ipo ya kutosha kabisa mkuu maana mvua inanyesha ya kushiba.Nipo ukanda huo. Huko machimboni nasikia kuna tope sana.
Kwenye suala la pesa watu wanavumilia tu.Tope ipo ya kutosha kabisa mkuu maana mvua inanyesha ya kushiba.
Ila raia hawajali hilo wanavaa yale maviatu marefu sijui yanaitwa rainboot.
Madini yapo mazee
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Sitaki.Mguno upi?
Chat na picha
Hapana ila nilienda jana kucheki connectionsKwenye suala la pesa watu wanavumilia tu.
Vipi upo huko?
Ukipata connection tushtuane ngosha
Sawa mkuuUkipata connection tushtuane ngosha
..mpare tena!...yaani kabisa ni mpare? Nilitaka kuongea kilugha lakini basi mkuu.Zaman ndo nlkua mcharuko ila saiv, kwa mpare huyu ananipa kityuuh roho inapenda, mmmmh nimekua mpolee, msikivu, c unajua me mke wa mtu saiv.
Afu mniheshimu humu ndan, me ni mke halali wa mpare huyoo.
![]()
Kwani ukininunia unafaidika nini?Sitaki.
Sawa Shem.. nafurahi.Nipo Jana na leo shem wangu!