Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dgo umezama Sana eeh nakushauri nenda 50/50 sisi wanaume sio Kama unavodhani ili in case likija la kutokea usiyumbe na kwenye masomo
Ahsanteeeeeh broooh, nimekuelewa vizuri kabisaaah, .Jah akuzidishie hekima na busara zaidi, ili nipate kufaidika.
 
BF2B5816-8078-4096-9332-8B1209EF9398.jpeg

Furahia maisha hakuna namna hii dunia si yetu
 
Raha ya nyumba mwanaume, wacha nikutunze,
Nyumba yetu tuipambe, huko nyuma tulishindiaga mabwende,
Karanga na makande, kuku ugali dona sembeee,
Usinune kwa maneno ya majirani wanoko, hawaishi longolongo,
Vimaneno km viroboto, wanakesha wakiomba unichapege mkong'oto,
Jamani sielew babeeh juaaaa, ukimuona furaha tele moyoni,
Nikomuona anatabasamu usoni.

NAOMBA UNIROGE ×2

kwani mapenzi matamuuuuuuh.

NAOMBA UNIROGE ×2.

mjanja wa cocastieeeeeeeeeeeh. View attachment 1649575
Mkuu mbona unapenda kuwa mwanamke ilihali wewe ni mwanaume
 
Back
Top Bottom