Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dgo umezama Sana eeh nakushauri nenda 50/50 sisi wanaume sio Kama unavodhani ili in case likija la kutokea usiyumbe na kwenye masomo
Ahsanteeeeeh broooh, nimekuelewa vizuri kabisaaah, .Jah akuzidishie hekima na busara zaidi, ili nipate kufaidika.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Ndiyo. Njoo hapa Bupandagila High School utanikuta napiga chaki mkuu.

Nzūgū dūlye magugulu nkoyi [emoji16][emoji16][emoji16]
Kumbe upo Bupandagila nkoi!

Hayo maeneo nayafahamu kuanzia mkula, sapiwi, igegu, dutwa, mwakibuga, nyakabindi, diana, oldmaswa hadi somanda huko.

Sawa nkoi ntakuja kula amagugulu ga mandege na nduhlu[emoji3][emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka nusu nife wallah,. Kumbe na wee n mpana hivi? Hapan skuwezi mie lol.
Jaman hata sijui ni nani aliyeandika hapo huwezi amini
 
BF2B5816-8078-4096-9332-8B1209EF9398.jpeg

Furahia maisha hakuna namna hii dunia si yetu
 
Raha ya nyumba mwanaume, wacha nikutunze,
Nyumba yetu tuipambe, huko nyuma tulishindiaga mabwende,
Karanga na makande, kuku ugali dona sembeee,
Usinune kwa maneno ya majirani wanoko, hawaishi longolongo,
Vimaneno km viroboto, wanakesha wakiomba unichapege mkong'oto,
Jamani sielew babeeh juaaaa, ukimuona furaha tele moyoni,
Nikomuona anatabasamu usoni.

NAOMBA UNIROGE ×2

kwani mapenzi matamuuuuuuh.

NAOMBA UNIROGE ×2.

mjanja wa cocastieeeeeeeeeeeh. View attachment 1649575
Mkuu mbona unapenda kuwa mwanamke ilihali wewe ni mwanaume
 
Back
Top Bottom