cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,290
Ahsanteeeeeh broooh, nimekuelewa vizuri kabisaaah, .Jah akuzidishie hekima na busara zaidi, ili nipate kufaidika.Dgo umezama Sana eeh nakushauri nenda 50/50 sisi wanaume sio Kama unavodhani ili in case likija la kutokea usiyumbe na kwenye masomo










