Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,414
- 176,346
Kumbe nae msukumaLizarazu umemuachia wapi?



Wasukuma





Bora T 1990 ELY
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe nae msukumaLizarazu umemuachia wapi?








Mnaongelea makabila mnataka kutambika?
(In Mwl. Nyerere's voice)




mnyaki wa wapi mkuu...Haha Wanyakyusa tunajuana kumbe
Shukrani mkuu karibu Safari


Wa Chyela wewe wa wapi mkuumnyaki wa wapi mkuu...
mkuu safari is my favourite
asante
Ushaanza
Navaaga ila si sana kama suruali, mfano hapa sikumbuki last time kuvaa gauni ni lini miezi huko, mwendo wa trousers tu na skirts kidogo
Una visanga we bhagesh🤪🤪🤪🤪
Makiseo hebu ukuje darling umuwish msukuma leo nae anasabidei eti, angalau wewe una maneno matamu matamu.
Sijui kala wadudu gani leo maana kwenye matunda alihama.
Sent using Jamii Forums mobile app

Ukiachilia hizo Shrimp, vingine vyote ni



Mkuu hutumii prawns?Ukiachilia hizo Shrimp, vingine vyote ni![]()



Hapana bro....Mkuu hutumii prawns?![]()