Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
We jamaa wewe😅😅😅😆😆😆😆eti mlenda wa kienyeji😅😅loh
We jamaa wewe😅😅😅😆😆😆😆eti mlenda wa kienyeji😅😅loh
Na maziwa ya kienyejiWe jamaa weweeti mlenda wa kienyeji
loh
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆Dah!!...Hii ndo tamu sasa kuipigia chaputa.
Unaweka taswira ya hizo lipsi umepewa maiki unapafomu na kutuma salamu kwa ndugu,jamaa na marafiki.
Na kuchagua wimbo pendwa kabisa(kwa nini umeyaruhusu).
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Ehee bana😆😆nilikuwa nibanana kiaina.
Sema ulikuwa umebanwa.....Ehee bananilikuwa nibanana kiaina.
Ni aje msukuma.
Jamaa angu unajuaga kunichekesha aiseh loh
Yes nilikuwa nimebanwa na kazi mkuu ..Sema ulikuwa umebanwa.....
Fresh tu mkuu vipi kwema....
Naomba na wewe unichekeshe.....
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app


Nikikuchekesha unanipa nini?Yes nilikuwa nimebanwa na kazi mkuu ..
Sasa nimepata muda wa kuingia huku.
Naweza basi kuchekesha mie...
Mimi napenda kuchekeshwa tu..
Haya nichekeshe basi chembambaa![]()
Urefu au ufupi wa vidole huwa unasadifu kuwa yaliyomo

Nitakupa “like”
Wacha bhana 😆😆Urefu au ufupi wa vidole huwa unasadifu kuwa yaliyomo
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Thanks Karma. Huwa sisherehekeagi japo huwa nalazimishwa lazimishwa. Namshukuru Mungu kwa kunipa nafasi ya kuufikia uhenga rasmi. Miaka 68 si haba



Mtoto wangu wa kwanza ana miaka 42 mkuu. Wewe nipe shikamoo tu basi...Naona Mkuu hata uhenga unajilazimisha.
Wewe ni under 30 kabisa.
HBD
Marahabaaa....Aisee!
Mkuu, wewe ni baby boomer unayeishi kama kijana kabisa.
Shikamoo.
Kigodoro tena!! Hebu muulize yule sijui wa kuitwa Hamida. Alonenepa baada ya kuachana na jamaa.Najitahidi hata kwa kuvaa kigodoro![]()