Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Ntaacha ukiacha ukorofi
Yarabi huyu msukuma ana nini leo huyu, haya ndiyo matokeo ya kula mlenda wa kienyeji haya. Twiga anayenyonyesha 🙄🙄Umesahau mkuu Ollachuga Oc
Ana kifua kimetuna kama twiga ananyonyesha
Nakazia tu......
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Si nawakoromea kwa upole.Ungesema Mkurya labda ningekubali. Una upole gani wewe? Mpole gani anakoromea mafurushi hivyo?



Duuh am speechless mkuu, ila suruali ndiyo napendelea zaidi.ila ntajaribu na magauni pia ahsante.
Mimi siyo msukuma weweSalimeti
T1990ELY
.........
..........
Mpo wengi pia![]()


Makiseo hebu ukuje darling umuwish msukuma leo nae anasabidei eti, angalau wewe una maneno matamu matamu.
Sijui kala wadudu gani leo maana kwenye matunda alihama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana jf imefurugika nowdays, gelofrendi wako nae chaukorofi sijui alifanya nini akapigwa ban ndio mazima. Nimemiss kile kichwa aisee.Daah that young girl; aisee nimemiss yale matimbwili. Aliondoka tu JF kwa muda
Wanyakyusa si mnashindikana hadi uzeeni.Teh bibi yetu na hep sabidei
Ndio maana jf imefurugika nowdays, gelofrendi wako nae chaukorofi sijui alifanya nini akapigwa ban ndio mazima. Nimemiss kile kichwa aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haina haja ya kumtafuta twiga anayenyonyeshaDaah itabidi nimtafute twiga anayenyonyesha



Navaaga ila si sana kama suruali, mfano hapa sikumbuki last time kuvaa gauni ni lini miezi huko, mwendo wa trousers tu na skirts kidogoHuvaagi magauni?
Jamani , haya ntamtumia picha ya twiga mimi nnayenyonyesha😀 ndyo maana unaitwa ELYHaina haja ya kumtafuta twiga anayenyonyesha
Mtafute financial services angalia kifua chake kilivyotuna
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Aisee tunatofautiana.Navaaga ila si sana kama suruali, mfano hapa sikumbuki last time kuvaa gauni ni lini miezi huko, mwendo wa trousers tu na skirts kidogo
Twiga anayenyonyesha kama kilivyotuna kifua chakoYarabi huyu msukuma ana nini leo huyu, haya ndiyo matokeo ya kula mlenda wa kienyeji haya. Twiga anayenyonyesha![]()





Ujue ndiyo nilikuwa nataka nikuulizie eti. Haki nimemiss majibu ya gelofriend hahhah
#TeamRohoMbaya#




