Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20201210-163952.jpg
 
No offence cocastic

Kwa hiyo huyu jamaa ndio mambo yakiwa sawa anaweza kukuoa?

I mean mkikaa mnapanga mikakati kabisa ya ndoa?

Sio kwa ubaya kabisaaaa hilo swali
Kwan wee ulipotea wapi? Unajua nlkumisss sanaaaah lol,

Kuhus swali lako , sio kila wapenz wanaishia kua na ndoa, hiyo ni mipango baina ya wahusika wenyewe,

Kwa upande wetu, bado tupo tuna fight kwan for life, ila mipango iliyopo n ndoa kabisaaa itakuepo,.

Kwahyo usijari kuhus ndoa utakuepo tyuuh, yaan afe beki afe kipa lazima wali uliwe kweny ndoa yangu.

Nilikumiss moaaaah deaaa lol,
 
Kwan wee ulipotea wapi? Unajua nlkumisss sanaaaah lol,

Kuhus swali lako , sio kila wapenz wanaishia kua na ndoa, hiyo ni mipango baina ya wahusika wenyewe,

Kwa upande wetu, bado tupo tuna fight kwan for life, ila mipango iliyopo n ndoa kabisaaa itakuepo,.

Kwahyo usijari kuhus ndoa utakuepo tyuuh, yaan afe beki afe kipa lazima wali uliwe kweny ndoa yangu.

Nilikumiss moaaaah deaaa lol,

Yeah,najua sio kila mahusiano huwa yanaishia kwenye ndoa ndio maana nikauliza hapo juu kama mambo yakiwa sawa ndoa itafuata

Asa kwanini umeamua kupendana na mwanaume?ulipatwa na nini?

Halafu nakumiss pia sana tu,mie nipo huku kila siku....nakuwa mvivu tu
 
Yeah,najua sio kila mahusiano huwa yanaishia kwenye ndoa ndio maana nikauliza hapo juu kama mambo yakiwa sawa ndoa itafuata

Asa kwanini umeamua kupendana na mwanaume?ulipatwa na nini?

Halafu nakumiss pia sana tu,mie nipo huku kila siku....nakuwa mvivu tu
Kuhus kupendan na huyo, sjapatwa na chchte, ila km kna kitu unatak kufaham kuhus sis, ikiwezekan njoo PM, hapa sio mahala pake.

Miss moaah deaah,
 
Ur ma ,
Ur ma
Ur ma
Ur ma
"Ur ma , am ur , never ever wannah let u go, ur ma shyneeeh when am in troubled babeeeeh yeaaah"

"Nikipata umepata babeeeh tunakwenda JUU".

cc Chakorii , Saint Anne , Depal , Culture Me ,

Urs shemelaaaaaaaaah. View attachment 1648770
Ila bana unajuaga tu kutuvurugua humu 😀😀 anyway ain't be too judgemental.

Ngoja nimalizie kushusha verses.

Never never never gonna let you go
The smile on my face is cause you love me
Everything I do is baby cause you trust me
Na Muumba hakosei kukuleta kwangu mimi
Wacha nikupe upendo safi,
na chochote utakacho kwangu freeeee 🌷🌸🍭
 
Back
Top Bottom