Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Naenda tu kutembea na kutafuta vibarua vya kuvuna zabibuNitakukuta hapohapo usijali kabisa ndio mahafali right...

Sent using Jamii Forums mobile app
Naenda tu kutembea na kutafuta vibarua vya kuvuna zabibuNitakukuta hapohapo usijali kabisa ndio mahafali right...

Mimi kila mtu namuita boss humu.Halafu Saint Anne am not a boss bhana maana am not bossying anyone here or thereniite kaka Gallius...
Mwee Asante mama.Chukua mtakatifu wangu




Siku ukija daslamu nitafute nitakununulia hii juice kiwango unachokihitaji mtakatifu wanguMwee Asante mama.
Hiyo ningekuwa karibu ningeimaliza,nilivyo mlafi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kila mtu namuita boss humu.
Naamini kila mtu ni boss wangu humu,yeyote aweza nipa kibarua nikamfanyia..au akaniunganisha na mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
WeeSiku ukija daslamu nitafute nitakununulia hii juice kiwango unachokihitaji mtakatifu wangu







Hujakosea brother...leo nilienda beach moja hivi maeneo ya mjimwema nikapita hapo..nikasema isiwe tabu.Huku kama kigamboni vile...
Wewe nicheki tu hakuna kitakachoharibika.ukiwa tayari nicheki tu nitakutumia namba yangu..usijali
Hujakosea brother...leo nilienda beach moja hivi maeneo ya mjimwema nikapita hapo..nikasema isiwe tabu.
Kila nikipitaga hapo natamanigi nilale tu kwenye hiyo garden loh![]()
Wewe nicheki tu hakuna kitakachoharibika.ukiwa tayari nicheki tu nitakutumia namba yangu..usijali

Asante ChiefNzuri sana kuna garden nzuri sana hapo pia i recommend ukitaka kununua maua ya urembo ama miti ya matunda kwa ajili ya nyumba yako nunua hapo....
Ninao hapa nimeshauvika kikaptura chakulalia babanguLeo sijaona mguu wako wa bia humu ndani![]()
Ninao hapa nimeshauvika kikaptura chakulalia babangu

Wewe nicheki tu hakuna kitakachoharibika.ukiwa tayari nicheki tu nitakutumia namba yangu..usijali




sawa mamaHuo mstari wa kwanza baadhi ya maneno umeandika kinyakyusa nini🤪🤪Naomba nione tu tibia na fibula zilivyo pendelewa na nyama nzuri nzuri...![]()