Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,498
- 235,199
Naenda tu kutembea na kutafuta vibarua vya kuvuna zabibu[emoji4]Nitakukuta hapohapo usijali kabisa ndio mahafali right...
Sent using Jamii Forums mobile app
Naenda tu kutembea na kutafuta vibarua vya kuvuna zabibu[emoji4]Nitakukuta hapohapo usijali kabisa ndio mahafali right...
Mimi kila mtu namuita boss humu.Halafu Saint Anne am not a boss bhana maana am not bossying anyone here or there [emoji4] niite kaka Gallius...
Mwee Asante mama.Chukua mtakatifu wangu
Siku ukija daslamu nitafute nitakununulia hii juice kiwango unachokihitaji mtakatifu wanguMwee Asante mama.
Hiyo ningekuwa karibu ningeimaliza,nilivyo mlafi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2092]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kila mtu namuita boss humu.
Naamini kila mtu ni boss wangu humu,yeyote aweza nipa kibarua nikamfanyia..au akaniunganisha na mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee[emoji847][emoji847]Siku ukija daslamu nitafute nitakununulia hii juice kiwango unachokihitaji mtakatifu wangu
Hujakosea brother...leo nilienda beach moja hivi maeneo ya mjimwema nikapita hapo..nikasema isiwe tabu.Huku kama kigamboni vile...
Wewe nicheki tu hakuna kitakachoharibika.ukiwa tayari nicheki tu nitakutumia namba yangu..usijaliWee[emoji847][emoji847]
MUNGU ajaalie pumzi
Nitakuja kukufilisi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujakosea brother...leo nilienda beach moja hivi maeneo ya mjimwema nikapita hapo..nikasema isiwe tabu.
Kila nikipitaga hapo natamanigi nilale tu kwenye hiyo garden loh[emoji8]
Wewe nicheki tu hakuna kitakachoharibika.ukiwa tayari nicheki tu nitakutumia namba yangu..usijali
Asante ChiefNzuri sana kuna garden nzuri sana hapo pia i recommend ukitaka kununua maua ya urembo ama miti ya matunda kwa ajili ya nyumba yako nunua hapo....
Ninao hapa nimeshauvika kikaptura chakulalia babanguLeo sijaona mguu wako wa bia humu ndani [emoji4]
Ninao hapa nimeshauvika kikaptura chakulalia babangu
[emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji8]sawa mamaWewe nicheki tu hakuna kitakachoharibika.ukiwa tayari nicheki tu nitakutumia namba yangu..usijali
Huo mstari wa kwanza baadhi ya maneno umeandika kinyakyusa nini🤪🤪Naomba nione tu tibia na fibula zilivyo pendelewa na nyama nzuri nzuri... [emoji4]