bonjov
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,540
- 3,392
Halafu unajua ratiba kuliko wao 😂Acha tu life hii, ila acha wale neema za nchi, sisi kipindi hicho tv tunaenda kuangalia kwa jirani
Halafu unajua ratiba kuliko wao 😂Acha tu life hii, ila acha wale neema za nchi, sisi kipindi hicho tv tunaenda kuangalia kwa jirani
Ni nini hicho mkuu?It's just impurityView attachment 1634667
[emoji174][emoji174]RIP LEGEND.View attachment 1634738
Ndugu yako anachelewa kuja; mudi wa kupost anaweza kupeperuka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usisahau kunitag nkamu
Akhsanteee boss[emoji7][emoji178][emoji178][emoji178]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1634823
Baada ya kujishaua sana kutokukula usiku...usiku huu minyoo nayo leo imegoma kulala kabisa[emoji28][emoji28][emoji28] ikabidi niishie kula [emoji115]hapo..[emoji1666]hongereni sana minyoo maembe ndo hayo katengenezeni juisi tumboni.kesho tena usiku mgome kulala ninywe sukari sawa eee...[emoji28][emoji28]eheee[emoji41]
Dogo unakuja Dodoma kimya kimya hata hutoi taarifa[emoji2297][emoji2297]Oohh asante
Mie nipo Nyerere Square
Kwendaaaaa! [emoji57][emoji57]Espy uko wapi? Nataka nipost picha na ole wako usitoke JF
Karibu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnajitesa bure.
Kuleni Jamani.
Yaani kananiona mtoto mwenzie haka kabinti[emoji2297][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usisahau kunitag nkamu
Uwiii[emoji39][emoji39][emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uwiii[emoji39][emoji39][emoji91][emoji91][emoji91]
We dada unajua kupika
Nitafunga safari kuja kwako nikae hata wiki moja tu unifundishe
Kumbe mpo wote[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Heaven Sent ndio kapika.
Sent using Jamii Forums mobile app