bonjov
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,406
- 3,104
Halafu unajua ratiba kuliko wao 😂Acha tu life hii, ila acha wale neema za nchi, sisi kipindi hicho tv tunaenda kuangalia kwa jirani
Halafu unajua ratiba kuliko wao 😂Acha tu life hii, ila acha wale neema za nchi, sisi kipindi hicho tv tunaenda kuangalia kwa jirani
Ni nini hicho mkuu?It's just impurityView attachment 1634667
Ndugu yako anachelewa kuja; mudi wa kupost anaweza kupeperuka
Usisahau kunitag nkamu
Akhsanteee boss





View attachment 1634823
Baada ya kujishaua sana kutokukula usiku...usiku huu minyoo nayo leo imegoma kulala kabisaikabidi niishie kula
hapo..
hongereni sana minyoo maembe ndo hayo katengenezeni juisi tumboni.kesho tena usiku mgome kulala ninywe sukari sawa eee...
eheee
![]()



Dogo unakuja Dodoma kimya kimya hata hutoi taarifaOohh asante
Mie nipo Nyerere Square


Kwendaaaaa!Espy uko wapi? Nataka nipost picha na ole wako usitoke JF


Yaani kananiona mtoto mwenzie haka kabinti
Usisahau kunitag nkamu

Uwiii





Uwiii
We dada unajua kupika
Nitafunga safari kuja kwako nikae hata wiki moja tu unifundishe




Kumbe mpo wote

