Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Weka kwanza pichaHahahh aliekua anakupaga kaacha Au hayup now ? ? unapenda pich wewe Aisee
Aliachaga boss
Weka kwanza pichaHahahh aliekua anakupaga kaacha Au hayup now ? ? unapenda pich wewe Aisee
Ndugu yako anachelewa kuja; mudi wa kupost anaweza kupeperuka












Na guchogo gwake asije tuzimia server buree, abaki nazo tu.
Teh eti mtoto mwenzie khaa
Uwiii
We dada unajua kupika
Nitafunga safari kuja kwako nikae hata wiki moja tu unifundishe
Teh eti mtoto mwenzie khaa
Na kuchogo gwake asije tuzimia server buree, abaki nazo tu.
Cc Heaven Sent
Sent using Jamii Forums mobile app
HapanaNaomba kukaimu nafasi baby
Tatizo Mimi nashindwa kuweka emoji baada ya kuselect pich
Labda niitume whatsApp kwa mtu mwengine with emoj alaf ndio nitume humu
Kutuma full full ni ngumu jamani![]()



AsanteKaribu sana
Mbiguni tutapewa miili mipyaaa isiyo na vitambi, kwahiyo tukule tu.Daaah wacha tu ninepeane; kwanza kitambi hakiwashi wala hakiumi
Kwahiyo umeamua kuficha chogo si ndio?Hahhahahahaha na guu langu la beer kama la nshomile je? Afu picha yenyewe nimegonga wigi linalofuata direction ya kichwa