Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,366
- 176,193
Abee Ely!
Abee Ely!
Kitu cha pilau, safi sana.Mapema sana. View attachment 1632129
Mawazo ya kishetani yanakujia hebu nenda kanisani.Mh mh sasa hapa unabananga mambo!
Nimekuona kama ulivyo tena?
Ila mwili tu ndio hauna shukrani.Supu ya mbuzi wa kienyejiView attachment 1632083
Hahahaha....Aiseeeeee!!Ila mwili tu ndio hauna shukrani.
Espy napenda kuona picha yako mkuuAbee Ely!
My douta haendagi huko, wewe umeshamaliza kwaya?Mawazo ya kishetani yanakujia hebu nenda kanisani.
Babe ndo unaamka au ndio umeachiwa?nyie watu siku ya bwana na vituko kiasi hiki dah!
Jf nzima kakumiss wewe tuMwambie Tansyasinifanyie hivi, kwanini amepotea bila kuaga, jana nimewa tag wewe na Tansy kwenye uzi fulani hivi jana tu nimewakumbuka, halafu nyie kwanini mmefichana lini tunakutana sasa, hata sijui niwafanyaje mnajificha sana
![]()



Ujue umeniharibia mtotoMy douta haendagi huko, wewe umeshamaliza kwaya?

Mawazo ya kishetani yanakujia hebu nenda kanisani.




Sikupingi mkuuSupu ya mbuzi wa kienyejiView attachment 1632083