donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Easy Friday....
Mimi siyo mnene ndiyo mkuumkuu nakukubali sana, hivi ulisema wewe sio mnene?

Umeona Eeeeeh!!Unakula vitu vyenye kuupa mwili nguvu na ulinzi wa kutosha
Aiseeeeee!!Nafunga hesabu tukutane siku nyingineView attachment 1625680
Aiseeeeee!!

Naam mkuu

Hujambo mkuuNaam mkuu![]()
Iko nusu ndiyo ila inaonyesha kabisa kuwa huyo ni weweUoni mw mwenyewe iko nusu![]()

Nimwmsii sana kumuona uku japo tunawasilian ila napenda zaid nimuonw jf
Wow!!....naomba kutia nia mkuuGoma liko empty hili
![]()
Mkuu utawezana na hawa wajumbe la jimbo iliWow!!....naomba kutia nia mkuu
Maana jimbo nimelielewa sana
?Wajumbe ni watu wazuri sana nitawezena nao tu mkuuMkuu utawezana na hawa wajumbe la jimbo ili?
Japo unawasiliana nae kwa njia ipi mkuu?Nimwmsii sana kumuona uku japo tunawasilian ila napenda zaid nimuonw jf
Hapa uwe na sera kama gwajimaWajumbe ni watu wazuri sana nitawezena nao tu mkuu

