Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ulimalizia pale form four ? Ulifanikiwa kufaulu vizur pale ? Maana sangu o level ilikua inasifika kwa kufeli

Yaani kinachofanya ionekane vile ni uwingi wa wanafunzi.
Wanaofaulu na wanaofeli ni wengi ko failure inatawala
Walikuwa wananiita Mtoto wa mwabulambo yule mama wa nidhamu alikuwa ananipenda hatari.. nilikuwa mtoto mzuri sana,break time utanikuta naimba mapambio kanisani.
Sijawahi kufaulu tena kama nilivyofaulu nikiwa pale
 

Yaani kinachofanya ionekane vile ni uwingi wa wanafunzi.
Wanaofaulu na wanaofeli ni wengi ko failure inatawala
Walikuwa wananiita Mtoto wa mwabulambo yule mama wa nidhamu alikuwa ananipenda hatari.. nilikuwa mtoto mzuri sana,break time utanikuta naimba mapambio kanisani.
Sijawahi kufaulu tena kama nilivyofaulu nikiwa pale
Ulitisha Sana mtoto wa ndimbo kufaulu pale , maana form four unakuta iko A B C D E F
 
Kabisaaaah uniazime lol
8F79C18C-E8A3-4D20-BDFC-2EF6C250D092.jpeg
 
Back
Top Bottom