Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

6F72C7DE-752D-4600-A5B8-99D3721C3C38.jpeg
 
Hizo Dorritos nazo si utakula tuvipande tuwili tu basi?

English figure eeeh! How English? Flaviana Matata or Beyonce English? Mwanamke lazima awe na vinyama nyama bana - hasa zile sehemu muhimu (if you know what I mean)
😁😁😁🙈🙈

English ya B obviously 😉😉 hiyo ya 1 wala siitaki maana sina mzuka nayo, mwenyewe ntakosa raha!!

😁😁😁 I knoww what you mean and I completely agree with you 🤝🏾🤝🏾
 
Alikuwa anagonga na rula mikononi.
Akija class anaanza kuuliza maswali darasa zima kiti kwa kiti asee..tena anataka uelezee kabisa maelezo aliyoandika..anaweza akapita hata raundi 5 yule mama
Ila alinifanya nisome sana somo lake hadi wakanipaga kacheti form 4
Ulimalizia pale form four ? Ulifanikiwa kufaulu vizur pale ? Maana sangu o level ilikua inasifika kwa kufeli
 
Back
Top Bottom