Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,160
- 11,214
Last in first out(LIFO)
Nimemkumbuka madam fulani Sangu form 2 alitunyoosha Sana yule mama.

Kama nakuona vileNdio dinner au kionjo tu
😁😁😁🙈🙈Hizo Dorritos nazo si utakula tuvipande tuwili tu basi?
English figure eeeh! How English? Flaviana Matata or Beyonce English? Mwanamke lazima awe na vinyama nyama bana - hasa zile sehemu muhimu (if you know what I mean)![]()
Pole kama unaumwa/unauguza .
Samahani kuuliza swali personal ,hizo Pete ni urembo or ( Mimi wa mkoa nitoe tongotongo )
Tumbo la huyu Dada liko bize sana hahahahh #jokes
Minyoo haipumuiTumbo la huyu Dada liko bize sana hahahahh #jokes
Wee c* hyo dp hapana lol, huo mdomo niazime mie niringie kwan.



UDom hiyooooh?Tughimbe HallView attachment 1624133
Heeeeeh daddie upooh? LolHahahaha, Fanya hivyo Rafiki
NauguzaPole kama unaumwa/unauguza .

Dogolas(mwananguNani anaumwa?
)Alikuwa anagonga na rula mikononi.Kama nakuona vile

Pole Sana mkono wa bwana umfunikeDogolas(mwanangu)
Ulimalizia pale form four ? Ulifanikiwa kufaulu vizur pale ?Alikuwa anagonga na rula mikononi.
Akija class anaanza kuuliza maswali darasa zima kiti kwa kiti asee..tena anataka uelezee kabisa maelezo aliyoandika..anaweza akapita hata raundi 5 yule mama
Ila alinifanya nisome sana somo lake hadi wakanipaga kacheti form 4

Maana sangu o level ilikua inasifika kwa kufeli