Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilikuwa mtoto mzuri sana
Si kwamba nilikuwa najiweza,Wala!!
Basi tu nidhamu na kuongea taratibu.halafu sura yangu sijui imekaa kipole
Yule mama alinipenda sana asee,akiingia madarasa mengine ananitolea mfano.
Akija darasa letu alikuwa anapenda sana kutumia daftari langu, akawa haishi kunisifia usmart katika kupanga kazi.

Sasa huu ujambazi jambazi sijui niliutoa wapi mimi,,kwanza ilitakiwa nibaki Sangu palepale basi tu.
Ndimbo hivi Bado yupo??siku hizi walimu wengi hawapo,waliondolewa sana.
Safi Sana you look smart upstairs, pale walimu wengi nafikiri hawapo Tena kila Zama na kitabu chake, Ila was one of my best school in studies and fashion Yuda a anasema kabisa vaeni modal mnapendeza Sana kwanza nyinyi ni wafanya kazi wa bank sio wanafunzi
 
hello lushoto...
IMG-20201111-WA0024.jpeg
 
Safi Sana you look smart upstairs, pale walimu wengi nafikiri hawapo Tena kila Zama na kitabu chake, Ila was one of my best school in studies and fashion Yuda a anasema kabisa vaeni modal mnapendeza Sana kwanza nyinyi ni wafanya kazi wa bank sio wanafunzi
Smart wapi
Mi kilaza tu
Mungu hakunyimi vyote
Yaani hadi mwandiko akunyime?A wapi!!
Mimi nilikuwa najivuta vuta baadhi ya masomo na Kuna masomo Kama hilo la fifo sijui lifo Aki ya Nani nilikuwa nanyoka nayo nahakikisha sichomoki nafasi yangu hadi naondoka pale..

Eti vaeni tu modo
Akukute nayo mwabulambo na mwanjali Sasa
Ila watu sijui walikuwa na viwanda vya surualiasbh wanamkatia jioni anarudi amevaa nyingine kama ileile
Ndio hicho tu niliipendea shule ile
 
Smart wapi
Mi kilaza tu
Mungu hakunyimi vyote
Yaani hadi mwandiko akunyime?A wapi!!
Mimi nilikuwa najivuta vuta baadhi ya masomo na Kuna masomo Kama hilo la fifo sijui lifo Aki ya Nani nilikuwa nanyoka nayo nahakikisha sichomoki nafasi yangu hadi naondoka pale..

Eti vaeni tu modo
Akukute nayo mwabulambo na mwanjali Sasa
Ila watu sijui walikuwa na viwanda vya surualiasbh wanamkatia jioni anarudi amevaa nyingine kama ileile
Ndio hicho tu niliipendea shule ime
Pamba ziko dox tu pale, yaani ukishindwa kupendeza mbeya Basi wewe una matatizo modal za maana buku tatu tu mtu unakua nazo hata kumi na tano
 
Pamba ziko dox tu pale, yaani ukishindwa kupendeza mbeya Basi wewe una matatizo modal za maana buku tatu tu mtu unakua nazo hata kumi na tano
Watu walikuwa wanatungua hatari
Ila sasa kuvumilia fimbo zile kisa kuvaa modo wallah
Mimi sikutaka matatizo kabisa,bwanga langu safi..
Kuna rafiki yangu tulikubaliana tushone na visoro virefuuu kama magauni
 
Huyo mwabulambo aliwahi nipa msukosuko nusura niumwe presha katika umri mdogo sana

Yule mama watu walikuwa wanamkimbia Kama nyuki..
Mimi hata akisahau kitu class nampelekea ofisini kwake tunakaa tunapiga stori..sijui alinipendea Nini..
Aliwaambia wazazi wangu wamgawie mimi niwe mwanaye,angejua kama mimi hata si mpole kihivyo.
Kipindi nasoma sijawahi kuwa na nywele fupi ila sikuwahi kunyolewa na mkasi.
 
Back
Top Bottom