Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,160
- 11,214
Safi Sana you look smart upstairs, pale walimu wengi nafikiri hawapo Tena kila Zama na kitabu chake, Ila was one of my best school in studies and fashion Yuda a anasema kabisa vaeni modal mnapendeza Sana kwanza nyinyi ni wafanya kazi wa bank sio wanafunziNilikuwa mtoto mzuri sana
Si kwamba nilikuwa najiweza,Wala!!
Basi tu nidhamu na kuongea taratibu.halafu sura yangu sijui imekaa kipole
Yule mama alinipenda sana asee,akiingia madarasa mengine ananitolea mfano.
Akija darasa letu alikuwa anapenda sana kutumia daftari langu, akawa haishi kunisifia usmart katika kupanga kazi.
Sasa huu ujambazi jambazi sijui niliutoa wapi mimi,,kwanza ilitakiwa nibaki Sangu palepale basi tu.
Ndimbo hivi Bado yupo??siku hizi walimu wengi hawapo,waliondolewa sana.






asbh wanamkatia jioni anarudi amevaa nyingine kama ileile

