Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Yule mama watu walikuwa wanamkimbia Kama nyuki..
Mimi hata akisahau kitu class nampelekea ofisini kwake tunakaa tunapiga stori..sijui alinipendea Nini..
Aliwaambia wazazi wangu wamgawie mimi niwe mwanaye,angejua kama mimi hata si mpole kihivyo.
Kipindi nasoma sijawahi kuwa na nywele fupi ila sikuwahi kunyolewa na mkasi.
Aisee Basi mama alikupenda una bahati Sana angekuona saiv kumbe mkorofi tu, Yule mama aliniona namsomesha dgo wa olevel nikakimbia kumbe akaona nimezama EGM akaja akasema huyu mwenzenu nimemkuta anatongoza o level dar CV ilishuka akanipa na bonge la adhabu
 
Aisee Basi mama alikupenda una bahati Sana angekuona saiv kumbe mkorofi tu, Yule mama aliniona namsomesha dgo wa olevel nikakimbia kumbe akaona nimezama EGM akaja akasema huyu mwenzenu nimemkuta anatongoza o level dar CV ilishuka akanipa na bonge la adhabu
Atakuwa alikunyosha hatari
Na anavyojua kufwatilia
Anavyoongeaga sasa

Mimi alinipenda sana aisee hadi nikawa naogopa,hadi kuna siku alikuja kucharaza fimbo darasa zima kwa kelele,alivyoniona akaahirisha.. akasema nimewaacha kwa ajili ya huyu mtoto.
Ila mimi mkorofi tu hapa jukwaani maneno mengi..siku ukinisikia naongea hutaamini kama ni Mimi.

Iwe kama amepita huku jf akanigundua
 
Atakuwa alikunyosha hatari
Na anavyojua kufwatilia
Anavyoongeaga sasa

Mimi alinipenda sana aisee hadi nikawa naogopa,hadi kuna siku alikuja kucharaza fimbo darasa zima kwa kelele,alivyoniona akaahirisha.. akasema nimewaacha kwa ajili ya huyu mtoto.
Ila mimi mkorofi tu hapa jukwaani maneno mengi..siku ukinisikia naongea hutaamini kama ni Mimi.

Iwe kama amepita huku jf akanigundua
Kumbe mjanja huku tu ipo siku nitakubamba hom hapo face to face na hivi we ni jirani yangu
 
Kwanini usingempelekela gov , ks si Kama janja janja Sana
Nimetoka naye nyumbani alikuwa poa tu!..sasa nikasema Ngoja nishuke tu hapa ks nisiende maranatha tutibiwe tugeuke,sikubeba hata kitenge maana alikuwa anatembea...
Tumefika si akabadilika,hali si hali.

Gvt huwa tunampeleka akiwa serious sana.
 
Back
Top Bottom