Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20201108_142732.jpg
 
Ungekuwa ni asexual au gamophob tungesema unahitaji msaada wa kisaikolojia( nachojua hawa mahusiano ya kimapenzi na commitment zake ndo hawawezi).
Ungekuwa mtoto kama wengi wanavokuita hapa tungeshauri usubiri ukue uyaone mengi am sure ungebadilika mbeleni.
Ila kwa kesi yako naona kama hauangukii popote kati ya hizo scenario mbili juu maana we hutaki na huwezi kupenda hata kwa mapenzi ya kawaida mf yale ya Yesu na kondoo wake, mtu na rafiki yake, mtu na ndugu yake nk. Sasa jamani kama hadi wanyama wasio na rationality wanahitaji kupenda na kupendwa, we utakuwa kiumbe wa dizaini gani?

Anyways Karma sio kesi, hayo ni maisha yako na we ndo unaejua unahitaji nini katika haya maisha.
Wako ninaetamani kukupenda, kaka BUSH BIN LADEN
Daah hapa kidogo nitashindwa kukupa ufafanuzi vizuri juu ya hili! Lakini nafikiri jaribu kugoogle maana ya haya maneno mawili "Asexuality" na "Gamophobia" ndiyo utanielewa vizuri nilichozungumzia hapo!
Si unaona sasa! Tatizo umenijudge bila kuelewa wala kujua kwa undani yaani umenijudge kupitia haya machache tu niliyoyaandika humu!

Ndiyo maana huwa mnaambiwa msipende ku judge a book by its cover na msipendi kujudge watu bila kuwajua kwa undani! Na hata hivyo kama umenisoma vizuri utagundua hakuna sehemu nimesema mimi sihitaji kupenda mimi kupenda napenda na naweza nikampenda mtu kupita kiasi ila tu huwa sihitaji kupendwa pia!

Kuhusu hayo mambo ya asexuality na gamophobia nafikiri haujaona hiyo comment niliyomjibu cocastic! I am one of asexual and gamophonic people na huwa sihitaji msaada wa kisaikolojia juu ya hili sababu naipenda hii hali!

Huo upendo wa aina nyingine ninao sana tu mkuu huwa napenda watu wote wazazi ndugu jamaa na marafiki ila tu mimi huwa siweki matarajio makubwa kwao na siwezi kuhitaji wanipende pia (isipokuwa wazazi wangu na ndugu zangu niliozaliwa nao tumbo moja hao ndiyo nina imani nao)! Huwa sitaki kujipa moyo kuwa eti kwa sababu nampenda mtu fulani basi na yeye atakuwa ananipenda au anatakiwa anipende no mi mtu anipende au asinipende naona sawa tu hivyo ndivyo nilivyo wala siwezi jilazimisha kuwa tofauti!
 
Si unaona sasa! Tatizo umenijudge bila kuelewa wala kujua kwa undani yaani umenijudge kupitia haya machache tu niliyoyaandika humu!

Ndiyo maana huwa mnaambiwa msipende ku judge a book by its cover na msipendi kujudge watu bila kuwajua kwa undani! Na hata hivyo kama umenisoma vizuri utagundua hakuna sehemu nimesema mimi sihitaji kupenda mimi kupenda napenda na naweza nikampenda mtu kupita kiasi ila tu huwa sihitaji kupendwa pia!

Kuhusu hayo mambo ya asexuality na gamophobia nafikiri haujaona hiyo comment niliyomjibu cocastic! I am one of asexual and gamophonic people na huwa sihitaji msaada wa kisaikolojia juu ya hili sababu naipenda hii hali!

Huo upendo wa aina nyingine ninao sana tu mkuu huwa napenda watu wote wazazi ndugu jamaa na marafiki ila tu mimi huwa siweki matarajio makubwa kwao na siwezi kuhitaji wanipende pia (isipokuwa wazazi wangu na ndugu zangu niliozaliwa nao tumbo moja hao ndiyo nina imani nao)! Huwa sitaki kujipa moyo kuwa eti kwa sababu nampenda mtu fulani basi na yeye atakuwa ananipenda au anatakiwa anipende no mi mtu anipende au asinipende naona sawa tu hivyo ndivyo nilivyo wala siwezi jilazimisha kuwa tofauti!
Sounds boring.
 
Si unaona sasa! Tatizo umenijudge bila kuelewa wala kujua kwa undani yaani umenijudge kupitia haya machache tu niliyoyaandika humu!

Ndiyo maana huwa mnaambiwa msipende ku judge a book by its cover na msipendi kujudge watu bila kuwajua kwa undani! Na hata hivyo kama umenisoma vizuri utagundua hakuna sehemu nimesema mimi sihitaji kupenda mimi kupenda napenda na naweza nikampenda mtu kupita kiasi ila tu huwa sihitaji kupendwa pia!

Kuhusu hayo mambo ya asexuality na gamophobia nafikiri haujaona hiyo comment niliyomjibu cocastic! I am one of asexual and gamophonic people na huwa sihitaji msaada wa kisaikolojia juu ya hili sababu naipenda hii hali!

Huo upendo wa aina nyingine ninao sana tu mkuu huwa napenda watu wote wazazi ndugu jamaa na marafiki ila tu mimi huwa siweki matarajio makubwa kwao na siwezi kuhitaji wanipende pia (isipokuwa wazazi wangu na ndugu zangu niliozaliwa nao tumbo moja hao ndiyo nina imani nao)! Huwa sitaki kujipa moyo kuwa eti kwa sababu nampenda mtu fulani basi na yeye atakuwa ananipenda au anatakiwa anipende no mi mtu anipende au asinipende naona sawa tu hivyo ndivyo nilivyo wala siwezi jilazimisha kuwa tofauti!
😀😀
 

Attachments

  • VID-20201019-WA0008.mp4
    534.1 KB
Back
Top Bottom