Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Mie nimesema tuWacha we!! We kunywa tu mama.
Ungana na Hazard CFC
Sijamaanisha ndiyo nakunywa
Mie nimesema tuWacha we!! We kunywa tu mama.
Ungana na Hazard CFC
Ukionja moja tu basiiiiiiMie nimesema tu
Sijamaanisha ndiyo nakunywa
Unashida lakini sio bure, something is wrongMimi hata nikiwa billionaire! Sioni uhitaji wa kuwa na mwanaume wala watoto kwa sababu sipendi kufanya tendo la ndoa wala siko tayari kujicommit kwenye mahusiano au ndoa!




Umemsaidia sio kimawazoNgoja ukikaribia umri wa sisi mama zakp wadogo mawazo na fikra zitabadilika kidogo
Wewe sasa tulia kwanza, umeiga tu ila pia kuna shida mbona mnajifanya nyie maintrovertHuwa najua niko peke angu kwenye hili suala, kumbe tupo wengi, lol ubarikiwe pia dea.
Utaua mtu na presha etiSi unaona sasa! Tatizo umenijudge bila kuelewa wala kujua kwa undani yaani umenijudge kupitia haya machache tu niliyoyaandika humu!
Ndiyo maana huwa mnaambiwa msipende ku judge a book by its cover na msipendi kujudge watu bila kuwajua kwa undani! Na hata hivyo kama umenisoma vizuri utagundua hakuna sehemu nimesema mimi sihitaji kupenda mimi kupenda napenda na naweza nikampenda mtu kupita kiasi ila tu huwa sihitaji kupendwa pia!
Kuhusu hayo mambo ya asexuality na gamophobia nafikiri haujaona hiyo comment niliyomjibu cocastic! I am one of asexual and gamophonic people na huwa sihitaji msaada wa kisaikolojia juu ya hili sababu naipenda hii hali!
Huo upendo wa aina nyingine ninao sana tu mkuu huwa napenda watu wote wazazi ndugu jamaa na marafiki ila tu mimi huwa siweki matarajio makubwa kwao na siwezi kuhitaji wanipende pia (isipokuwa wazazi wangu na ndugu zangu niliozaliwa nao tumbo moja hao ndiyo nina imani nao)! Huwa sitaki kujipa moyo kuwa eti kwa sababu nampenda mtu fulani basi na yeye atakuwa ananipenda au anatakiwa anipende no mi mtu anipende au asinipende naona sawa tu hivyo ndivyo nilivyo wala siwezi jilazimisha kuwa tofauti!
Kwani mi hata najali basi? As long as i am happy and free that is all that matters to me!Unashida lakini sio bure, something is wrong![]()
Hivi kuna mtu anayeweza kujilazimisha kuwa introvert au extrovert? Hizo ni inborn characters mkuu mtu hajipachiki tu!Wewe sasa tulia kwanza, umeiga tu ila pia kuna shida mbona mnajifanya nyie maintrovert
Niue mtu kivipi yaani? Kwani kuna shida mahali?Utaua mtu na presha eti
Teh teh teeeeeh!! Kama nakuona vile.Mie nimesema tu
Sijamaanisha ndiyo nakunywa
Kwani mi hata najali basi? As long as i am happy and free that is all that matters to me!
I mean ukija ingia kwenye mahusiano mwenzako akawa serious wewe huna habari itamtesa sana kisaikolojia inaweza mpelekea mtu kujiuaNiue mtu kivipi yaani? Kwani kuna shida mahali?
Sema karma huo mtindo wa maisha ni kujitesa, sawa unaweza kuwa na furaha kwa namna unavyoishi lakini huna furahaHivi kuna mtu anayeweza kujilazimisha kuwa introvert au extrovert? Hizo ni inborn characters mkuu mtu hajipachiki tu!
Unakimbilia wapi, mbona tumepishana
Ndiyo maana nasema mmekaririLakini juu ya namna unaishi huo mtindo wa maisha yako kuna jambo limeshawahi kukutokea ndiyo maana umeathirika kimtondo
Ndiyo maana nikasema hii hali inanipelekea nisiingie kwenye mahusianoI mean ukija ingia kwenye mahusiano mwenzako akawa serious wewe huna habari itamtesa sana kisaikolojia inaweza mpelekea mtu kujiua