Mkuu nikuulize swali?Nadhani ukichaa unaanza kupimwa pale unaposhindwa kucontrol feelings na emotions. So whether ukipenda unapenda kupindukia au haupendi kabisa hata umpate mtu anaekupenda kwa dhati, zote ni dalili za ukichaa.
Anyways kwa kuwa ni mtu hadi wewe unamuita dogo huenda kuna mengi hajayaona, so tumuombee kila la heri aweze kubomoa hili box la fikra alilojifungia ndani.. Amen![]()
Namuangalia tu.
Nahitaji kujua hili pia, tena ikipendeza ufafanuzi uwe vizuri kabisaaa, nipate kuelewa.Mkuu nikuulize swali?
Hapa duniani tuko watu zaidi ya billion saba ukiacha wanaokufa na wanaozaliwa kila siku je una uhakika ni binadamu wote wanajihusisha kwenye mahusiano ya kimapenzi au wanaoa/wanaolewa na wanazaa watoto?
Daah hapa kidogo nitashindwa kukupa ufafanuzi vizuri juu ya hili! Lakini nafikiri jaribu kugoogle maana ya haya maneno mawili "Asexuality" na "Gamophobia" ndiyo utanielewa vizuri nilichozungumzia hapo!Nahitaji kujua hili pia, tena ikipendeza ufafanuzi uwe vizuri kabisaaa, nipate kuelewa.
No sio wote wanajihusisha na mahusianoMkuu nikuulize swali?
Hapa duniani tuko watu zaidi ya billion saba ukiacha wanaokufa na wanaozaliwa kila siku je una uhakika ni binadamu wote wanajihusisha kwenye mahusiano ya kimapenzi au wanaoa/wanaolewa na wanazaa watoto?
Sasa kwanini mimi naonekana wa ajabu wakati siyo wa kwanza wala sitakuwa wa mwisho? Nikisema wabongo tunapenda sana kukariri maisha na kulazimisha maisha yawe na kanuni moja kwa kila mtu nitakuwa nakosea?No sio wote wanajihusisha na mahusiano
Nadhani ukichaa unaanza kupimwa pale unaposhindwa kucontrol feelings na emotions. So whether ukipenda unapenda kupindukia au haupendi kabisa hata umpate mtu anaekupenda kwa dhati, zote ni dalili za ukichaa.
Anyways kwa kuwa ni mtu hadi wewe unamuita dogo huenda kuna mengi hajayaona, so tumuombee kila la heri aweze kubomoa hili box la fikra alilojifungia ndani.. Amen![]()
amenSiku nikukutana na wewe lazima nikachape vibao viwili vizito uamke kwenye huo usingizi ulionaoMkuu nikuulize swali?
Hapa duniani tuko watu zaidi ya billion saba ukiacha wanaokufa na wanaozaliwa kila siku je una uhakika ni binadamu wote wanajihusisha kwenye mahusiano ya kimapenzi au wanaoa/wanaolewa na wanazaa watoto?
Usingizi gani? Unachoumia wewe ni kipi hasa hadi utake kunichapa hivyo vibao?Siku nikukutana na wewe lazima nikachape vibao viwili vizito uamke kwenye huo usingizi ulionao
Hamna ninanchoumia, ni kukushtua tuu uamke...Usingizi gani? Unachoumia wewe ni kipi hasa hadi utake kunichapa hivyo vibao?
Mimi hata mia mbovu sina halafu huyo mtoto namleta aje kuwa kibaka?
Afadhali ya wewe

Ngoja ukikaribia umri wa sisi mama zakp wadogo mawazo na fikra zitabadilika kidogo
Sasa umri unaingiaje hapa jamani
Karibu tenaDaaaah c* nlkua buzzy kidog, ila ucjar mie nmerud now.
Sasa mbona hausemi niamke kwenye nini? Nikueleweje eti?Hamna ninanchoumia, ni kukushtua tuu uamke...
Mimi hata nikiwa billionaire! Sioni uhitaji wa kuwa na mwanaume wala watoto kwa sababu sipendi kufanya tendo la ndoa wala siko tayari kujicommit kwenye mahusiano au ndoa!Mimi hata mia mbovu sina halafu huyo mtoto namleta aje kuwa kibaka?
Sitaki dhambi ya kuja kutesa kiumbe wa Mungu
Ngoja ukikaribia umri wa sisi mama zakp wadogo mawazo na fikra zitabadilika kidogo






Mimi nikitengamaa nadhani nitakuwa na uhitaji huoMimi hata nikiwa billionaire! Sioni uhitaji wa kuwa na mwanaume wala watoto kwa sababu sipendi kufanya tendo la ndoa wala siko tayari kujicommit kwenye mahusiano au ndoa!
Subiri ukue dogo
Mtu mwenyewe anayeongea hivyo sasa
Mkuu nasubiri picha yakoUngekuwa ni asexual au gamophob tungesema unahitaji msaada wa kisaikolojia( nachojua hawa mahusiano ya kimapenzi na commitment zake ndo hawawezi).
Ungekuwa mtoto kama wengi wanavokuita hapa tungeshauri usubiri ukue uyaone mengi am sure ungebadilika mbeleni.
Ila kwa kesi yako naona kama hauangukii popote kati ya hizo scenario mbili juu maana we hutaki na huwezi kupenda hata kwa mapenzi ya kawaida mf yale ya Yesu na kondoo wake, mtu na rafiki yake, mtu na ndugu yake nk. Sasa jamani kama hadi wanyama wasio na rationality wanahitaji kupenda na kupendwa, we utakuwa kiumbe wa dizaini gani?
Anyways Karma sio kesi, hayo ni maisha yako na we ndo unaejua unahitaji nini katika haya maisha.
Wako ninaetamani kukupenda, kaka BUSH BIN LADEN