Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wazazi tunatamani wajukuu kwa kila mtoto, au hujui?
Sasa daddy kwani haujui kuwa kwenye kila familia lazima kuna mtoto mmoja ambaye atakuwa tofauti na wenzie! Na mara nyingi huyo mtoto lazima awe hasara!

Hivyo chukulia tu ni hasara kama hasara nyingine unazopata kwenye vitu kama biashara au nini! Huku ukijua unao wengine watatu ambao hawana matatizo yoyote!
 
Karibuni tena late Lunch

1604768783160.png
 
Sasa daddy kwani haujui kuwa kwenye kila familia lazima kuna mtoto mmoja ambaye atakuwa tofauti na wenzie! Na mara nyingi huyo mtoto lazima awe hasara!

Hivyo chukulia tu ni hasara kama hasara nyingine unazopata kwenye vitu kama biashara au nini! Huku ukijua unao wengine watatu ambao hawana matatizo yoyote!
Umri bado haujafika Ndiyo maana..
Ngoja ukue kue kwanza
 
Back
Top Bottom